Sabode
Senior Member
- Apr 11, 2008
- 160
- 21
Salam hapa jamvini.
jamani naomba yeyote mwenye uelawa wa namna ya kuiset Iphone ili niweze kubrowse internet. nimejaribu kwa kutumia internet kwenda 232, inaniambia simu yangu haina uwezo wa kutumia MMs,internet na wap.
Lakini kuna jamaa yangu mmoja kanambia kwa sms hiyo iphone haikubari ila ukitumia manual configuration ina kubari.
Sasa mwenye uelewa msaada please
jamani naomba yeyote mwenye uelawa wa namna ya kuiset Iphone ili niweze kubrowse internet. nimejaribu kwa kutumia internet kwenda 232, inaniambia simu yangu haina uwezo wa kutumia MMs,internet na wap.
Lakini kuna jamaa yangu mmoja kanambia kwa sms hiyo iphone haikubari ila ukitumia manual configuration ina kubari.
Sasa mwenye uelewa msaada please