Msaada: Friji linajizima na kujiwasha, tatizo nini?

toplemon

JF-Expert Member
Mar 26, 2017
4,581
4,631
Wakuu nina friji langu aina ya HAIER nimelinunua miez 6 iliyopita nilikua nalitumia vizuri tu bila tatizo ila mgao wa UMEME ulipoanza basi umeme ukirudi linakua linachelewa kuwaka

Linakua linawajiwasha na kujizima hivyo hivyo hadi baadae sana umeme ukishatengamaa ndo linajiwasha moja kwa moja

Sasa shida imekuja juz umeme ulikatika ukaja kurudi likachelewa kujiwasha sana hadi jana asbuhi ila saa jana 5 umeme ukakatika tena na kuja kurudi hadi leo tokea hyo jana friji linajiwasha na kujizima tu kwa sekunde kadhaa

Hadi muda huu halijawaka zaidi ya kujiwasha tu na kujizima kwa sekunde mbili, nashindwa kuelewa changamoto ninini maana friji yenyewe ni ndogo ya mlango mmoja tu na huwa inatumia umeme kidogo sana unit moja unatumia siku 3 na hapo umeliwasha masaa 24

Tatzo litakua ninini?Ila huwa situmii friji guard wala stablaiza....


Update:Cha kushangaza tokea juzi joto lilivyopungua na mvua kunyesha lilianza kugandisha vizuri tu kama kawaida linafanya kazi vizuri tu

Sasa nashindwa kuelewa kwanini lifanye kazi kipindi cha mvua tu au joto likiwa limepungua??

Mrejesho:Mlinishauri wengi humu ninunuwe stablizer hatimaye Nimenunua stablizer matatizo yote kwishaa sina la kusema kwa jinsi nilivyofurahi hapa,maana hadi juisi za mtoto na maziwa mansap alikua anaweka humo, tumepata adha sana maana ilikua inatugharimu mimi na mama mtoto wangu.... Nawashukuru sana wanabodi sijui kusingekua na JF maisha yangekuaje?Mungu awabariki sana
 
Wakuu nina friji langu aina ya HAIER nimelinunua miez 6 iliyopita nilikua nalitumia vizuri tu bila tatizo ila mgao wa UMEME ulipoanza basi umeme ukirudi linakua linachelewa kuwaka

Linakua linawajiwasha na kujizima hivyo hivyo hadi baadae sana umeme ukishatengamaa ndo linajiwasha moja kwa moja

Sasa shida imekuja juz umeme ulikatika ukaja kurudi likachelewa kujiwasha sana hadi jana asbuhi ila saa jana 5 umeme ukakatika tena na kuja kurudi hadi leo tokea hyo jana friji linajiwasha na kujizima tu kwa sekunde kadhaa

Hadi muda huu halijawaka zaidi ya kujiwasha tu na kujizima kwa sekunde mbili, nashindwa kuelewa changamoto ninini maana friji yenyewe ni ndogo ya mlango mmoja tu na huwa inatumia umeme kidogo sana unit moja unatumia siku 3 na hapo umeliwasha masaa 24

Tatzo litakua ninini?Ila huwa situmii friji guard wala stablaiza....
Mbona ushajijibu,?
 
Wakuu nina friji langu aina ya HAIER nimelinunua miez 6 iliyopita nilikua nalitumia vizuri tu bila tatizo ila mgao wa UMEME ulipoanza basi umeme ukirudi linakua linachelewa kuwaka

Linakua linawajiwasha na kujizima hivyo hivyo hadi baadae sana umeme ukishatengamaa ndo linajiwasha moja kwa moja

Sasa shida imekuja juz umeme ulikatika ukaja kurudi likachelewa kujiwasha sana hadi jana asbuhi ila saa jana 5 umeme ukakatika tena na kuja kurudi hadi leo tokea hyo jana friji linajiwasha na kujizima tu kwa sekunde kadhaa

Hadi muda huu halijawaka zaidi ya kujiwasha tu na kujizima kwa sekunde mbili, nashindwa kuelewa changamoto ninini maana friji yenyewe ni ndogo ya mlango mmoja tu na huwa inatumia umeme kidogo sana unit moja unatumia siku 3 na hapo umeliwasha masaa 24

Tatzo litakua ninini?Ila huwa situmii friji guard wala stablaiza....
Kwanza kabla ya maelezo mengi. Vipi umeme hapo mtaani kwenu uko stable?
 
Back
Top Bottom