Wakati naperuzi website zenye frequency nimekutana na website, nilipoingia kwenye satellite yenye channel za kibongo nikakuta frequency za ATN na UBC na zinginezo. Tatizo ni kwamba nikiziweka hizi za ATN na UBC hazipatikani nimejaribu kujua sababu nimeshindwa kwa sababu hizo zote bado nimeona zipo ktk DVB-S na ni mpeg 2. Msaada, maoni au ufafanuzi wana JF please.