DIDAS TUMAINI
JF-Expert Member
- Nov 11, 2014
- 232
- 651
Wakuu salamu,
Nina Facebook page yangu inaitwa "Mkatoliki Imara"..ni page iliyokuwa ina post content za dini tuuu.
Kuna jamaa waliidukuwa na wakaniondoa kuwa admin,ila details zangu zote bado zinaonekana kule.
Sasa wale jamaa wanaitumia page yangu hiyo kupromote website zao kwa kutumia content za ngono.
Kwa kuwa waliniondoa kuwa admin hivyo sina access yoyote ile ya kufanya ili wasipost.
Napata simu za watu wengi sana wakilaumu kwann napost picha za utupu kwenye page ambayo awali ilikuwa ilipost content za maswala ya kidini.
So,naomba msaada kwa yeyote yule mwenye utaalamu wa kuifunga au kuirudisha hiyo page kwenye controlling yangu
Kama yupo mwenye huo ujuzi anicheki basi kwa namba hii 0712778881
Nina Facebook page yangu inaitwa "Mkatoliki Imara"..ni page iliyokuwa ina post content za dini tuuu.
Kuna jamaa waliidukuwa na wakaniondoa kuwa admin,ila details zangu zote bado zinaonekana kule.
Sasa wale jamaa wanaitumia page yangu hiyo kupromote website zao kwa kutumia content za ngono.
Kwa kuwa waliniondoa kuwa admin hivyo sina access yoyote ile ya kufanya ili wasipost.
Napata simu za watu wengi sana wakilaumu kwann napost picha za utupu kwenye page ambayo awali ilikuwa ilipost content za maswala ya kidini.
So,naomba msaada kwa yeyote yule mwenye utaalamu wa kuifunga au kuirudisha hiyo page kwenye controlling yangu
Kama yupo mwenye huo ujuzi anicheki basi kwa namba hii 0712778881