Msaada eti gari hii inaweza kurudi kwenye hali yake ya kawaida?

Naomba nikueleze hali halisi...

Kwa namna hilo gari lilivyogongwa inawezekana kutengenezeka ila halitakuwa kama mwanzo...wajanja watagundua kuwa limegongwa na kunyooshwa....

Ila ukweli ni kwemba litakugharimu si chini ya M 3 kulirudisha kwenye hali yake...

Ukiamua kuliuza hivyo lilivyo kama scrapper hutakosa M1.5 mpka M 1.8..

Ushauri wa bure....kama uchumi wako upo vizuri, uza hiyo kwa 1.5 M kisha ongezea kama 3.5M ili upate jumla ya 5 million..........

Nina uhakika ukiwa na milioni 5 ,utapata brevis nyingine kama hiyo namba C iliyotulia......bora usiwe na haraka wakati wa kutafuta.

Au kama si brevis na bado unapenda 6 cylinders, kuna GX 110 nazo zina bei ndooogo tu ukimvua mtu.

Ila kama uchumi haujakaa vizuri, peleka kwa fundi, umlipe kwa installment mpaka amalize kazi.......

Mwisho, trust me...hiyo gari haitapungua Milioni 3 kuinyoosha, rangi na matairi yaliyopasuka, taa, bushes n.k.

This is free advice...
Ushauri huu umekwenda shule
 
Gari ilipata ajari, engine inawaka kama kawaida, hub ya nyuma kushoto imeng'oka na bodi ndiyo kama hivyo. Zipo gereji wanaweza kulirudisha gari kwenye muonekano wake wa awali? MSAADA tafadhari, ikiwezekana na gharama sake.

kama engene na gear box viko vizuri nakupa 1m cash kma uko interested ncheki dm
 
Gari ilipata ajari, engine inawaka kama kawaida, hub ya nyuma kushoto imeng'oka na bodi ndiyo kama hivyo. Zipo gereji wanaweza kulirudisha gari kwenye muonekano wake wa awali? MSAADA tafadhari, ikiwezekana na gharama sake.
Gari ilikua na bima ndogo ?
 
POLE SANA NDUGU. NAAMINI WOTE MLITIOKA SALAMA. SIJUI UMEFIKIA WAPI NA PROGRESS YAKO..!!
 
Gari ilipata ajari, engine inawaka kama kawaida, hub ya nyuma kushoto imeng'oka na bodi ndiyo kama hivyo. Zipo gereji wanaweza kulirudisha gari kwenye muonekano wake wa awali? MSAADA tafadhari, ikiwezekana na gharama sake.

nichek inbox uniuzie me nikaichinje..hiyo gari kama unapenda brevis tena kachukue tu mpya..adi mil 5 unapata kwa sasa
 
Naomba nikueleze hali halisi...

Kwa namna hilo gari lilivyogongwa inawezekana kutengenezeka ila halitakuwa kama mwanzo...wajanja watagundua kuwa limegongwa na kunyooshwa....

Ila ukweli ni kwemba litakugharimu si chini ya M 3 kulirudisha kwenye hali yake...

Ukiamua kuliuza hivyo lilivyo kama scrapper hutakosa M1.5 mpka M 1.8..

Ushauri wa bure....kama uchumi wako upo vizuri, uza hiyo kwa 1.5 M kisha ongezea kama 3.5M ili upate jumla ya 5 million..........

Nina uhakika ukiwa na milioni 5 ,utapata brevis nyingine kama hiyo namba C iliyotulia......bora usiwe na haraka wakati wa kutafuta.

Au kama si brevis na bado unapenda 6 cylinders, kuna GX 110 nazo zina bei ndooogo tu ukimvua mtu.

Ila kama uchumi haujakaa vizuri, peleka kwa fundi, umlipe kwa installment mpaka amalize kazi.......

Mwisho, trust me...hiyo gari haitapungua Milioni 3 kuinyoosha, rangi na matairi yaliyopasuka, taa, bushes n.k.

This is free advice...
IPO hivi gari haikugongwa iliacha njia ikaenda porini ikakajipigapiga kwenye miti.
Naomba nikueleze hali halisi...

Kwa namna hilo gari lilivyogongwa inawezekana kutengenezeka ila halitakuwa kama mwanzo...wajanja watagundua kuwa limegongwa na kunyooshwa....

Ila ukweli ni kwemba litakugharimu si chini ya M 3 kulirudisha kwenye hali yake...

Ukiamua kuliuza hivyo lilivyo kama scrapper hutakosa M1.5 mpka M 1.8..

Ushauri wa bure....kama uchumi wako upo vizuri, uza hiyo kwa 1.5 M kisha ongezea kama 3.5M ili upate jumla ya 5 million..........

Nina uhakika ukiwa na milioni 5 ,utapata brevis nyingine kama hiyo namba C iliyotulia......bora usiwe na haraka wakati wa kutafuta.

Au kama si brevis na bado unapenda 6 cylinders, kuna GX 110 nazo zina bei ndooogo tu ukimvua mtu.

Ila kama uchumi haujakaa vizuri, peleka kwa fundi, umlipe kwa installment mpaka amalize kazi.......

Mwisho, trust me...hiyo gari haitapungua Milioni 3 kuinyoosha, rangi na matairi yaliyopasuka, taa, bushes n.k.

This is free advice...
nichek inbox uniuzie me nikaichinje..hiyo gari kama unapenda brevis tena kachukue tu mpya..adi mil 5 unapata kwa sasa
Bado naipenda nitaitengeneza
 
Hapo ni kununua kipande cha nyuma( quarter panel) na mbele hizo fender ni rahisi tu fix ila jiandae pesa kuteketea, pia kwa wajuzi wakiona watajua iligongwa. Kwa ushauri uza spea kama ilivyo kisha nunua mpya, gari ikishaanzwa kupigwa marangi na kuchomea inapoteza mvuto wa asili.
Fuata ushauri wa huyu mkuu. Gharama ya kurekebisha itakuwa kubwa kuliko kununua gari kama hilo kwa mtu hapa Bongo. Na ukirekebisha, ni ngumu kurudia katika hali yake ya mwanzo. Utalichukia tu.
 
Naomba nikueleze hali halisi...

Kwa namna hilo gari lilivyogongwa inawezekana kutengenezeka ila halitakuwa kama mwanzo...wajanja watagundua kuwa limegongwa na kunyooshwa....

Ila ukweli ni kwemba litakugharimu si chini ya M 3 kulirudisha kwenye hali yake...

Ukiamua kuliuza hivyo lilivyo kama scrapper hutakosa M1.5 mpka M 1.8..

Ushauri wa bure....kama uchumi wako upo vizuri, uza hiyo kwa 1.5 M kisha ongezea kama 3.5M ili upate jumla ya 5 million..........

Nina uhakika ukiwa na milioni 5 ,utapata brevis nyingine kama hiyo namba C iliyotulia......bora usiwe na haraka wakati wa kutafuta.

Au kama si brevis na bado unapenda 6 cylinders, kuna GX 110 nazo zina bei ndooogo tu ukimvua mtu.

Ila kama uchumi haujakaa vizuri, peleka kwa fundi, umlipe kwa installment mpaka amalize kazi.......

Mwisho, trust me...hiyo gari haitapungua Milioni 3 kuinyoosha, rangi na matairi yaliyopasuka, taa, bushes n.k.

This is free advice...
Ushauri mzuri. Japo jamaa naona analipenda gari lake. Ila atajutia.
 
Ushauri mzuri. Japo jamaa naona analipenda gari lake. Ila atajutia.
Ni kweli naona watu wengi wamempa ushauri mzuri ila bado analipenda sana gari lake...kipendacho roho...
Jana kuna mark x namba c nimeona inauzwa M 6.8....ina maana yule akipewa M 5.5 anakamata mpunga...

Hizi gari za injini kuwa zipo nzuri za bei chee
 
Ni kweli naona watu wengi wamempa ushauri mzuri ila bado analipenda sana gari lake...kipendacho roho...
Jana kuna mark x namba c nimeona inauzwa M 6.8....ina maana yule akipewa M 5.5 anakamata mpunga...

Hizi gari za injini kuwa zipo nzuri za bei chee
Unaona sasa. Na akisharekebisha isiwe kama anavyotaka, akaamua kuiuza, jamaa watasema wampe 3m. Mwisho wa siku ataamua akae nalo wakati halimpi satisfaction anayoitegemea kwenye gari. Ila kama ulivyosema, kipenda roho...
 
auze gari kwasababu limepata ajali kisha akanunue kwa mtu amabaye naye analiuza kwasababu lilipata ajali alili repair ndio kaliweka sokon
 
auze gari kwasababu limepata ajali kisha akanunue kwa mtu amabaye naye analiuza kwasababu lilipata ajali alili repair ndio kaliweka sokon
Gari lililopata ajali linajulikana hata linyooshwe vipi....kwa mfano kama liligongwa mbel...ukifungua tu bonnet kwa mtu mjanja utaona zile skeletons za ndani zilivyonyooshwa nyooshwa na kupakwa rangi......ndo maana inatakiwa unapinunua gari kwa mtu utulize akili....au ununue ukiwa umeridhika kuwa lilipata ajali na madhara si makubwa
 
Back
Top Bottom