Jephta2003
JF-Expert Member
- Feb 27, 2008
- 6,507
- 6,210
Ushauri huu umekwenda shuleNaomba nikueleze hali halisi...
Kwa namna hilo gari lilivyogongwa inawezekana kutengenezeka ila halitakuwa kama mwanzo...wajanja watagundua kuwa limegongwa na kunyooshwa....
Ila ukweli ni kwemba litakugharimu si chini ya M 3 kulirudisha kwenye hali yake...
Ukiamua kuliuza hivyo lilivyo kama scrapper hutakosa M1.5 mpka M 1.8..
Ushauri wa bure....kama uchumi wako upo vizuri, uza hiyo kwa 1.5 M kisha ongezea kama 3.5M ili upate jumla ya 5 million..........
Nina uhakika ukiwa na milioni 5 ,utapata brevis nyingine kama hiyo namba C iliyotulia......bora usiwe na haraka wakati wa kutafuta.
Au kama si brevis na bado unapenda 6 cylinders, kuna GX 110 nazo zina bei ndooogo tu ukimvua mtu.
Ila kama uchumi haujakaa vizuri, peleka kwa fundi, umlipe kwa installment mpaka amalize kazi.......
Mwisho, trust me...hiyo gari haitapungua Milioni 3 kuinyoosha, rangi na matairi yaliyopasuka, taa, bushes n.k.
This is free advice...