kapotolo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2010
- 3,727
- 2,214
Heri ya mwaka mpya wand TGS Forum.
Wajuzi wa haya mambo naomba msaada.
Nimekuwa nataabika sana karibia mwezi sasa, nikifungua website ya Jamiiforums, haifunguki na inanipa error 118, inabidi nire-load several times ndio ikubali.
Tatizo linaweza kuwa nini? is it my computer? Na utatuzi wake ni nini?
Naomba msaada inanipa taabu sana.
Wajuzi wa haya mambo naomba msaada.
Nimekuwa nataabika sana karibia mwezi sasa, nikifungua website ya Jamiiforums, haifunguki na inanipa error 118, inabidi nire-load several times ndio ikubali.
Tatizo linaweza kuwa nini? is it my computer? Na utatuzi wake ni nini?
Naomba msaada inanipa taabu sana.