Cholemasaki
Member
- Mar 26, 2013
- 61
- 13
Ninaomba msaada wa mawazo ya biashara nnayoweza kufanya na trekta.
Awali nilikua kwenye kilimo cha mpunga lakini nimeona hakinilipi na trekta lilikua linaharibika mara kwa mara na kunigharimu sana.
Pia kwakua nipo mjini, trekta lipo mkoani, ufuatiliaji ulikua mgumu.
Ninaomba ushauri wa biashara nyingine ninayoweza kufanya na trekta, ambayo itanilipa, ukiacha kilimo.
Pia ningependelea zaidi mawazo ya biashara ambayo naweza kuifanya not far from mjini ambayo ufuatiliaji wake utakua si mgumu na utafanya less damage kwa trekta langu.
Natanguliza Shukrani.
Awali nilikua kwenye kilimo cha mpunga lakini nimeona hakinilipi na trekta lilikua linaharibika mara kwa mara na kunigharimu sana.
Pia kwakua nipo mjini, trekta lipo mkoani, ufuatiliaji ulikua mgumu.
Ninaomba ushauri wa biashara nyingine ninayoweza kufanya na trekta, ambayo itanilipa, ukiacha kilimo.
Pia ningependelea zaidi mawazo ya biashara ambayo naweza kuifanya not far from mjini ambayo ufuatiliaji wake utakua si mgumu na utafanya less damage kwa trekta langu.
Natanguliza Shukrani.