Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,759
- 5,289
Habari zenu wakuu.Nimekuwa nikisikia na kusoma kuhusu simu za android au symbian.But kiukweli sizijui ni simu gani.Na tofauti zake,coz zinaniumiza xana kichwa.Mf nokia 3210 nk ni mfumo gani? Ahsanteni