Majan
JF-Expert Member
- Jul 2, 2015
- 1,166
- 1,515
Duh kwaiyo kwene iyo yng apo siwez kuunganisha?Kulikuwa na kikalatasi hapo nilikitoa sa sikumbuki kiliandikwaje ila kwenye source kuna vitu iviView attachment 1085590
Duh kwaiyo kwene iyo yng apo siwez kuunganisha?Kulikuwa na kikalatasi hapo nilikitoa sa sikumbuki kiliandikwaje ila kwenye source kuna vitu iviView attachment 1085590
hii inawezekana... ni aina gani?!Duh kwaiyo kwene iyo yng apo siwez kuunganisha?View attachment 1085714
hii inakubaliKulikuwa na kikalatasi hapo nilikitoa sa sikumbuki kiliandikwaje ila kwenye source kuna vitu iviView attachment 1085590
Naenda wapi hapo mkuu ili nimeze kuzipatahii inakubali
Naenda kwenye neno lipi hapo ili niweze kuzipata izo channelhii inakubali
Ni STAR X LED TV mkuuhii inawezekana... ni aina gani?!
ni smart tv au sio smart?
Mkuu naomba unielekeze jins yakuunganisha mana naona nachemka kabisa tyr antena ninayohii inawezekana... ni aina gani?!
Kwa hiyo wadau kunauwezekano wa kutumia Decoda dvbt/t2 ambayo sio ya makampuni ya ving'amuzi ili kuona hizo channel kwenye tv zisizo za smart? Km kuna anayetumia atupe taarifa Maana Aliexpress zina range kati ya 40,000/= na 50,000=kama sio smart mkuu usijichoshe maana itakuwa haina king'amuzi cha ndani chenye DVB-T/T2 na DVB-S/S2
wapo wengi wanafanya hivyo ngoja tusubiri mwenye ushuhudaK
Kwa hiyo wadau kunauwezekano wa kutumia Decoda dvbt/t2 ambayo sio ya makampuni ya ving'amuzi ili kuona hizo channel kwenye tv zisizo za smart? Km kuna anayetumia atupe taarifa Maana Aliexpress zina range kati ya 40,000/= na 50,000=
Usisahau kuweka usafiri si chini ya 25,000 kwa standard shipping na bila shaka lazima upigwe 20% ikifika posta.K
Kwa hiyo wadau kunauwezekano wa kutumia Decoda dvbt/t2 ambayo sio ya makampuni ya ving'amuzi ili kuona hizo channel kwenye tv zisizo za smart? Km kuna anayetumia atupe taarifa Maana Aliexpress zina range kati ya 40,000/= na 50,000=
Mkuu asante kwa ushauri,lkn swali langu bado umelikwepaUsisahau kuweka usafiri si chini ya 25,000 kwa standard shipping na bila shaka lazima upigwe 20% ikifika posta.
Nikweli boss ila sijawahi tumia hiyo kitu ila bila shaka inaweza fanya hitaji lako.Mkuu asante kwa ushauri,lkn swali langu bado umelikwepa
Kumbe starx zipo vizur eehangalia bbc swahili hyo kupitia star tv leo
Kumbe starx zipo vizur eeh