Asante mkuuNikweli boss ila sijawahi tumia hiyo kitu ila bila shaka inaweza fanya hitaji lako.
Asante mkuuNikweli boss ila sijawahi tumia hiyo kitu ila bila shaka inaweza fanya hitaji lako.
Acha uongo mkuu kitu Kama hujui afadhali ukae kumya tu, me na tv ya evvol nakula local channels na nyingine nyingi fresh tu bila king'amuzi niweka antena tuHayo mambo samsung ndio wanayo hayo matv ya kichina sidhani.
Wakuu mi nimepata antena sasa nimeenda kusearch channel inaniuliza nichague kwanza nchi kwanza sasa nimetafuta nnchi ya tanzania nimeikosa nikahamua kuchagua south africa inaakanza kusearch channel zikaja sasa cha ajabu inakamata channel moja tu,za kitanzania zote azishiki nifanyaje ili za kitanzania zikamateView attachment 1094512View attachment 1094513
Iringa mkuuBoss channel zote hizo za kulipia hizo. Uko mkoa gani?
Kwangu imekubali moja tu,za kitanzania zinagoma tatizo linaweza kuwa niniMrejesho: nimefanikiwa kupata chaneli kama 38 japo nyingine ziko scrambled na antena bdo ipo ndani nimeining'iniza tu dirishani nika scan zikaja hizo nadhani nikiitoa nje zitaongezeka. kwa sasa chanel za ndani napata DIZZIM TV, STAR TV, TBC1, CHANEL 10, CLOUDS TV, ITV, na chanel nyingine za ndani na nje bbc na aljazeera ndani
jaribu mkuu
hiyo huduma bado inapatikana hadi sasa mkuu?Asanteni wataalam wetu nimeset tv yangu imekubali ila channel zingine inaandi No CI module nafanyaje ili ambapo station inaonekana ipo ila picha haziji
Hapo kuangalia tu channel za bure sijaona kampuni bongo inauza cl module za kufungua hizo channel zilizofungwaZinaonyesha kama zimefungwa nitumie njia ipi kunlock,antena nayotumia ndo iyoView attachment 1094558View attachment 1094559
angalia bbc swahili hyo kupitia star tv leo
...Hapo kuangalia tu channel za bure sijaona kampuni bongo inauza cl module za kufungua hizo channel zilizofungwa
Sikujua...
Mchina babu lao Startimes Anazo!
...