Mrisho Mpoto haujui inamchukua mtu jitihada gani kufaulu mtihatini wa kidato cha nne!

bombadier

JF-Expert Member
Nov 4, 2016
438
304
Mrisho Mpoto amewataka watanzania kutazama utendaji wa Makonda na si vyeti vyake pasipo kujua kwamba kufoji au kutumia vyeti vya kitaaluma vya mtu mwingine kujipatia kazi, cheo, sifa yoyote ile ni kosa kisheria!!

Najua Mrisho Mpoto anachanganya mambo kwa sababu hajasoma hivyo haoni umuhimu wa vyeti ikiwa mtu ni mtendaji mzuri! Kwa Mpoto kwa hili amepotoka atuache wenye vyeti tuzungumze ,,Mawazo yake ni hatari kwa taifa! Kwa dunia ya leo uwezi chagua jiongozi kwa nafasi mkuu wa mkoa bila CV ya elimu japo kwa kiwango fulani au professional skills kama jeshi au polisi ambapo leo haiwezekani ukapata zero ukapata nafasi kwenda jeshi au polisi labda ufanye magumashi kama zama zilizopita!!

Kutolea maoni jambo kwa inferiority complex si vizuri!! Ukweli lazima usemwe hata kama unauma, wangapi wameacha kazi kwa aibu tena wakiwa wamebakiza miezi kustaafu wakiwa wametumikua taifa kwa kiwango cha juu na uzalendo mkubwa kwa sababu tu ya vyeti!!!
 
Mrisho Mpoto amewataka watanzania kutazama utendaji wa Makonda na si vyeti vyake pasipo kujua kwamba kufoji au kutumia vyeti vya kitaaluma vya mtu mwingine kujipatia kazi, cheo, sifa yoyote ile ni kosa kisheria!!

Najua Mrisho Mpoto anachanganya mambo kwa sababu hajasoma hivyo haoni umuhimu wa vyeti ikiwa mtu ni mtendaji mzuri! Kwa Mpoto kwa hili amepotoka atuache wenye vyeti tuzungumze ,,Mawazo yake ni hatari kwa taifa! Kwa dunia ya leo uwezi chagua jiongozi kwa nafasi mkuu wa mkoa bila CV ya elimu japo kwa kiwango fulani au professional skills kama jeshi au polisi ambapo leo haiwezekani ukapata zero ukapata nafasi kwenda jeshi au polisi labda ufanye magumashi kama zama zilizopita!!

Kutolea maoni jambo kwa inferiority complex si vizuri!! Ukweli lazima usemwe hata kama unauma, wangapi wameacha kazi kwa aibu tena wakiwa wamebakiza miezi kustaafu wakiwa wametumikua taifa kwa kiwango cha juu na uzalendo mkubwa kwa sababu tu ya vyeti!!!
The man is thinking from his swollen belly
 
yaaani kuna mijitu mijinga balaa hivi kama hamna haja ya kuangalia vyeti kuna haja gani ya kuwa na shule na vyuo. kuna haja gani ya kulipa mamilioni ya ada kwa vijana wetu huko shuleni kama vyeti si chochote bali kazi. kuna watu wa natakiwa kupimwa akili
 
Mkuu katika hili wengime pia wanaangalia maslahi yao, watu wa aina kama Mrisho Mpoto wameegemea ccm kwa hali hiyo kiongozi yeyote wa ccm hata afanye jambo baya au la ajabu kupindukia wao ni lazima wamsifie tu,
Sasa watu wa aina hii watuambie wakati mh rais anapiga kampeni ya vyeti feki na watu wameachishwa kazi pamoja na uwezo na uzoefu wao lakini hakuna yeyote aliyepinga, sasa iweje kwa huyu Bashite ndio kwake ionekane si sahihi kwa kizingio eti anadanya kazi vizuri.
 
Mrisho Mpoto amewataka watanzania kutazama utendaji wa Makonda na si vyeti vyake pasipo kujua kwamba kufoji au kutumia vyeti vya kitaaluma vya mtu mwingine kujipatia kazi, cheo, sifa yoyote ile ni kosa kisheria!!

Najua Mrisho Mpoto anachanganya mambo kwa sababu hajasoma hivyo haoni umuhimu wa vyeti ikiwa mtu ni mtendaji mzuri! Kwa Mpoto kwa hili amepotoka atuache wenye vyeti tuzungumze ,,Mawazo yake ni hatari kwa taifa! Kwa dunia ya leo uwezi chagua jiongozi kwa nafasi mkuu wa mkoa bila CV ya elimu japo kwa kiwango fulani au professional skills kama jeshi au polisi ambapo leo haiwezekani ukapata zero ukapata nafasi kwenda jeshi au polisi labda ufanye magumashi kama zama zilizopita!!

Kutolea maoni jambo kwa inferiority complex si vizuri!! Ukweli lazima usemwe hata kama unauma, wangapi wameacha kazi kwa aibu tena wakiwa wamebakiza miezi kustaafu wakiwa wametumikua taifa kwa kiwango cha juu na uzalendo mkubwa kwa sababu tu ya vyeti!!!
Kama ni utendaji basi na wauuguzi pia ni watendaji tena wauguzi wakunga kazi wanayofanya ni ngumu na hatari pia.kwa nini serikali au jamii haikuwaonea huruma ?hapa tunataka haki itendeke sheria ni msumeno.Na yeye awajibike kama watumishi wengine waliodanganya ktk elimu.
 
Yule bwana hajui alitendalo ndio maan anafikiri kila kitu nikama kukalili mashairi.
Hajui vigezo anavyo kuanavyo mtu ili akidhi umkuu wa mkoa.
Kwahiyo sisi tunao ujua mziki wakupata vyeti vizuri vya taaluma tumkemee simply because anatudharau
Hawezi kusema mtu ambae hana cheti na asiye na cheti wote ni sawa.
Nacho mkemea mimi apunguze mahaba kwa asiyo ya jua.
 
Jamaa ana ujinga wa elimu ya darasani na sheria.

Wasanii wakubwa huajiri watu wa kushughulika na interaction ya social media, angekua na mtu wa kumanage hivi vitu tusingeona huu utumbo ila kujiona anajua kila kitu kisa mashairi mbuzi matokeo ndiyo kujionyesha kua wewe ni punguani.

Pengine kashaeleweshwa huko alipo tumuache kwanza
 
kusoma kuhitimu na kupata cheti ni vitu tofauti.....huyu jamaa atakuwa amesoma ila sidhani kama anacheti huwezi kumtetea asiye na cheti
 
Mrisho Mpoto amewataka watanzania kutazama utendaji wa Makonda na si vyeti vyake pasipo kujua kwamba kufoji au kutumia vyeti vya kitaaluma vya mtu mwingine kujipatia kazi, cheo, sifa yoyote ile ni kosa kisheria!!

Najua Mrisho Mpoto anachanganya mambo kwa sababu hajasoma hivyo haoni umuhimu wa vyeti ikiwa mtu ni mtendaji mzuri! Kwa Mpoto kwa hili amepotoka atuache wenye vyeti tuzungumze ,,Mawazo yake ni hatari kwa taifa! Kwa dunia ya leo uwezi chagua jiongozi kwa nafasi mkuu wa mkoa bila CV ya elimu japo kwa kiwango fulani au professional skills kama jeshi au polisi ambapo leo haiwezekani ukapata zero ukapata nafasi kwenda jeshi au polisi labda ufanye magumashi kama zama zilizopita!!

Kutolea maoni jambo kwa inferiority complex si vizuri!! Ukweli lazima usemwe hata kama unauma, wangapi wameacha kazi kwa aibu tena wakiwa wamebakiza miezi kustaafu wakiwa wametumikua taifa kwa kiwango cha juu na uzalendo mkubwa kwa sababu tu ya vyeti!!!
usimshangae mkuu, kama kaweza kuendesha prado huku yuko peku na kutembea peku barabani kisa hajapata nauli si ajabu yawezekana ana malaria kichwani:D:D:D
 
Back
Top Bottom