Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,124
Ritz,Hivi kosa la Mrema ni lipi?
Heshima yako kaka,
Huoni ajabu kwa kiongozi wa upinzani kushabikia chama tawala kwa njia isiyo ya kidemokrasia kabisa?Katika dhambi ambayo nilishawahi kuifanya nikiwa mtoto ilikua kumshabikia Mrema mwaka 1995.Watanzania naomba mnisamehe kwa hili.
Last edited by a moderator: