GRAMAA
JF-Expert Member
- Nov 1, 2014
- 1,155
- 3,402
Jana nilisalitiwa na mke wangu mama neema. Tulikwenda kumfumania nikiwa nipo na wazazi wake na baadhi ya ndugu zangu.
Tulipo fika huko kweli tulimkuta mke wangu yupo na yule jamaa wa TANESCO. Aisee inauma sana usiombe ikukute.
Nilitaka kuleta fujo ila wazee walifanikiwa kunituliza na kuniambia nijikaze.
Mwisho wa siku yule jamaa akaomba msamaha sana nakuahidi siku ya tarehe 13 atatoa
milioni tano kama fidia na faini.
Kweli mke wangu atembee na mwanaume mwingine mi nipewe milioni tano? Inaniuma sana tena sana. milioni tano inapoza nini kwa mke jamani.
Wanawake wanawake wanawake ni adui wakubwa sana duniani jamani kuweni makini haya mambo yanauma sana usiombe
Tulipo fika huko kweli tulimkuta mke wangu yupo na yule jamaa wa TANESCO. Aisee inauma sana usiombe ikukute.
Nilitaka kuleta fujo ila wazee walifanikiwa kunituliza na kuniambia nijikaze.
Mwisho wa siku yule jamaa akaomba msamaha sana nakuahidi siku ya tarehe 13 atatoa
milioni tano kama fidia na faini.
Kweli mke wangu atembee na mwanaume mwingine mi nipewe milioni tano? Inaniuma sana tena sana. milioni tano inapoza nini kwa mke jamani.
Wanawake wanawake wanawake ni adui wakubwa sana duniani jamani kuweni makini haya mambo yanauma sana usiombe