masanjuo
Senior Member
- Oct 10, 2016
- 184
- 306
Habari Za uzima Wana jamii wenzangu,
Mimi ni Yule mdada nilieleta wazo langu kuhusu biashara Kwa mtaji mdogo WA laki tatu Tu. Nashukuru nmepata mawazo mazuri nmefatilia Kwa utulivu na nimesoma maoni ya kila mtu. Maoni yangu Nimeamua sasa kuuza biashara ya Matunda Na genge mpaka sasa nmefatilia process ya kupata eneo nmepata.
Sasa nafatilia utengenezaji wa Banda la kawaida tu ambalo naomba Mungu lisimalize laki moja Na mtaji wangu nataka ubaki Kama laki moja Tu hiyo ndo nitaanza nayo, matengenezo mengine nitatengeneza Kadri Mungu atavyonijalia.
Asante sana mmenifungua mawazo nilikuwa Nawaza Sana kitu cha kufanya, kila nikiwaza nashindwa kutokana mtaji kuwa Ni changamoto.
NB: Tuweni Makini humu ndani sio wote wema wakati nipo kwenye mchakato alitokea mtu huku DM akaahidi kunipa kazi nilifurahi Sana kazi yenyewe ni ya sheli Na akadai IPO Arusha. Kama kawaida mimi nilimsikiliza akaniunganisha Na meneja feki ili wanitapeli hela.
Ni story ndefu siwezi kueleza lakini mwisho wa siku huyu boss akaomba hela ya uniform kama sh laki 1 na elfu 30. Dah Mungu Yuko upande wangu sikufanikiwa kutuma, nadhani ningetuma leo ningekuwa Na majonzi mapya.
My take: Mtu kaomba ushauri afanye nini ili ajikomboe na Maisha Na utegemezi sasa usiwe Tena chanzo cha kumrudisha nyuma huyu mtu.
Asanteni na nawatakia siku njema
Pia, soma=>Nimetafuta kazi nimechoka, naweza kufanya biashara gani na laki tatu?
Mimi ni Yule mdada nilieleta wazo langu kuhusu biashara Kwa mtaji mdogo WA laki tatu Tu. Nashukuru nmepata mawazo mazuri nmefatilia Kwa utulivu na nimesoma maoni ya kila mtu. Maoni yangu Nimeamua sasa kuuza biashara ya Matunda Na genge mpaka sasa nmefatilia process ya kupata eneo nmepata.
Sasa nafatilia utengenezaji wa Banda la kawaida tu ambalo naomba Mungu lisimalize laki moja Na mtaji wangu nataka ubaki Kama laki moja Tu hiyo ndo nitaanza nayo, matengenezo mengine nitatengeneza Kadri Mungu atavyonijalia.
Asante sana mmenifungua mawazo nilikuwa Nawaza Sana kitu cha kufanya, kila nikiwaza nashindwa kutokana mtaji kuwa Ni changamoto.
NB: Tuweni Makini humu ndani sio wote wema wakati nipo kwenye mchakato alitokea mtu huku DM akaahidi kunipa kazi nilifurahi Sana kazi yenyewe ni ya sheli Na akadai IPO Arusha. Kama kawaida mimi nilimsikiliza akaniunganisha Na meneja feki ili wanitapeli hela.
Ni story ndefu siwezi kueleza lakini mwisho wa siku huyu boss akaomba hela ya uniform kama sh laki 1 na elfu 30. Dah Mungu Yuko upande wangu sikufanikiwa kutuma, nadhani ningetuma leo ningekuwa Na majonzi mapya.
My take: Mtu kaomba ushauri afanye nini ili ajikomboe na Maisha Na utegemezi sasa usiwe Tena chanzo cha kumrudisha nyuma huyu mtu.
Asanteni na nawatakia siku njema
Pia, soma=>Nimetafuta kazi nimechoka, naweza kufanya biashara gani na laki tatu?