Mzawa asilia
JF-Expert Member
- Dec 17, 2013
- 416
- 204
hapa pia naomba ushauri ni benk ipi unaweza kupata huduma ya kufungua akaunt bila usumbufu kwa on line transaction- Fedha inachukuliwakwenye account yako husika - Inakuwa kana kwamba umefanya muamala wa manunuzi mtandaoni.
- Hicho kiasi cha fedha walichochukua, Automatic kinarudishwa kwenye account yako ndani ya saa 48 hadi 72
nipo Moshi huku kuna CRDB,KBC ,EXIM,KBC ,BACLAYS NA EQUITY BANK