Ngoja nikatupe takataka pale hospitali ya Palestina,ili ''mla nyasi''apate kazi ya kufanyaMawaziri wa zamani wakati wa awamu ya Tatu, Basil Mramba (Waziri wa Fedha) na Daniel Yona (Nishati na Madini) sasa kutumikia kifungo cha nje hadi Nov. 5 kwa kufanya usafi wa mazingira katika Hospitali ya Palestina Iliyopo Sinza.
Ikumbukwe Julai 6, 2015 mawaziri hao walihukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela na kulipa faini ya milioni tano kila mmoja kwa kosa la matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia serikali hasara.
Hii serikali ya ccm hatujui inatupeleka wapi, wakati vibaka walio iba kuku wanatumikia miaka 10 jera mijizi kama mramba wanaachiwa? Mungu ibariki tanzaniaMawaziri wa zamani wakati wa awamu ya Tatu, Basil Mramba (Waziri wa Fedha) na Daniel Yona (Nishati na Madini) sasa kutumikia kifungo cha nje hadi Nov. 5 kwa kufanya usafi wa mazingira katika Hospitali ya Palestina Iliyopo Sinza.
Ikumbukwe Julai 6, 2015 mawaziri hao walihukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela na kulipa faini ya milioni tano kila mmoja kwa kosa la matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia serikali hasara.
Ccm ni ileileWafagie kuanzia saa moja na nusu mpaka saa nane halafu wachukuliwe na prado zao kwenda nyumbani kwao
Umeonaeeeee?adhabu za ki-tz noma
Kipi bora wakae jela wale bure au watumiwe ktk kufanya usafi na wale majumbani kwao. Wafungwa wanakula kwa kodi zetu. Tuombe tu na wengine waachiwe wafanye usafi kupunguza msongamano na kula bure jelazilikua mbwembwe kuonesha mapambano dhidi ya ufisadi, uchaguzi umeisha inabid waachiwe. Sasa kwa hukumu hizi yanini kuingia gharama kuanzisha mahakama za mafisadi?
ukiingizia nchi hasara kubwa hivi unahukumiwa kufagia? Kunaseremala walikutwa na mbao walipigwa mvua ya kutosha.Kwa staili hii hamna mahali tutafika,madili feki yatazidi
Fauu inaonesha kwako swala la kula unalipa uzito sana! Wanakula nini chazaidi mpaka iwe gharama Ivo? Wakifungwa hawawezi kupewa kazi mbalimbali za kufanya ikiwemo kufagia?Kipi bora
Kipi bora wakae jela wale bure au watumiwe ktk kufanya usafi na wale majumbani kwao. Wafungwa wanakula kwa kodi zetu. Tuombe tu na wengine waachiwe wafanye usafi kupunguza msongamano na kula bure jela
Sasa bantu zile tunasubiria watuhumiwa wafikishwe mahakamani ndio maana hata president anataka mahakama ya majizi zifunguliwe mpm tuwafikishe kortinMoneyBag....mbona zile za ........hakuna aliyefungwa na bado wanapeta.....Itoshe wewe kukubali hakuna hakimu kama ALLAH hata vitabu vitakatifu vinasema hivyo.
Kumbe 11 thkx kwa kuweka records sawamkuu sio kwamba wametia hasara serikali bilioni 3. wametia hasara serikali billion 11.8!
tuweke rekodi sawa!
Really! Watanzania ni wapumbavu, hawa wandugu walifungiwa hotelini sasa wametolewa wanarudishwa kwenye public eti watanzania wanashangilia.na hospitali palivyo pachafu pale sinza,nawaonea huruma hawa wazee
ilitakiwa wawabakie huko huko jela mpaka kifungo kiishe,sipati picha mramba anakamata mopper pale anapiga dekiReally! Watanzania ni wapumbavu, hawa wandugu walifungiwa hotelini sasa wametolewa wanarudishwa kwenye public eti watanzania wanashangilia.
Nakuomba ujionee huruma mwenyewe uliepumbazwa!
Mkuu na mimi na wazo km hiliNgoja nikatupe takataka pale hospitali ya Palestina,ili ''mla nyasi''apate kazi ya kufanya
Huyo allah anaishi wapi na ana mamlaka ipi kusaheme makosa ya watu?Ahsante...namuomba ALLAH akusamehe makosa yako kama yapo na mimi pia..Aaamin