Mutensa
JF-Expert Member
- Feb 20, 2009
- 421
- 90
Mkuu sina uzoefu kwenye nyanja hii lakini jitahidi kuzingatia yafuatayo:
1. Hakikisha unayo maji ya uhakika - ama eneo liwe na mto au uchimbe kisima, itakusaidia sana.
2. Kuwa karibu na soko ili upunguze gharama za usafirishaji na utunzaji wa maziwa
3. Hakikisha unao wataalamu washauri ili iwe rahisi kukabili changamoto mbali mbali za ufugaji.
Vinginevyo nikutakie kila la heri mkuu na nakuombea ufanikiwe ili siku nyingine urudi hapa jamvini kutotobolea siri ya mafanikio.
1. Hakikisha unayo maji ya uhakika - ama eneo liwe na mto au uchimbe kisima, itakusaidia sana.
2. Kuwa karibu na soko ili upunguze gharama za usafirishaji na utunzaji wa maziwa
3. Hakikisha unao wataalamu washauri ili iwe rahisi kukabili changamoto mbali mbali za ufugaji.
Vinginevyo nikutakie kila la heri mkuu na nakuombea ufanikiwe ili siku nyingine urudi hapa jamvini kutotobolea siri ya mafanikio.