Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 864
Muda mfupi uliopita wanamuziki maarufu ndani na nje ya nchi Mr Sugu pamoja na Mkoloni wamejiunga rasmi na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA).
Wanamuziki hawa walikuwa wametangaza kujiunga kwa na CHADEMA leo kupitia vyombo mbalimbali vya habari katika Ofisi za Makao Makuu ya Chama hicho Kinondoni Dar es Salaam.
Kujiunga kwao kunafanya idadi ya wanamuziki mashuhuri kuongezeka katika kujiunga na chama hicho baada ya Nakaaya Sumari kujiunga hivi karibuni na kutangaza azma ya kugombea Ubunge.
Habari ndio hiyo. Big Up!
Wanamuziki hawa walikuwa wametangaza kujiunga kwa na CHADEMA leo kupitia vyombo mbalimbali vya habari katika Ofisi za Makao Makuu ya Chama hicho Kinondoni Dar es Salaam.
Kujiunga kwao kunafanya idadi ya wanamuziki mashuhuri kuongezeka katika kujiunga na chama hicho baada ya Nakaaya Sumari kujiunga hivi karibuni na kutangaza azma ya kugombea Ubunge.
Habari ndio hiyo. Big Up!