GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,277
- 6,673
Ni ushauri tu wa kuongeza madai yao yaani baada ya magari
pia serikali iwapatie ndugu zetu hawa SILAHA ili waweze
kujilinda kutokana na unyeti wa sehemu waliyopo na umuhimu
wao, pia kama inawezekana madaktari bingwa wawekewe ulinzi
kabisa.(Nasisitiza - wapatiwe na serikali sambamba na mafunzo ya
namna ya kujihami na kuzitumia)
pia serikali iwapatie ndugu zetu hawa SILAHA ili waweze
kujilinda kutokana na unyeti wa sehemu waliyopo na umuhimu
wao, pia kama inawezekana madaktari bingwa wawekewe ulinzi
kabisa.(Nasisitiza - wapatiwe na serikali sambamba na mafunzo ya
namna ya kujihami na kuzitumia)