Pure nomaa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2011
- 1,158
- 1,382
Wakubwa kwa wale ambao kwa namna moja ama nyingine tume kuwa tukifuatilia vipindi vya original komedi nadhani mtakubaliana nami kwamba huyu sylvester mjuni aka MPOKI amekuwa na misemo ya ajabu ambayo nashindwa kuelewa kwamba amesomea au kipaji binafsi tu.Baadhi ya misemo yake ni kama
1.nyoka hana kiuno ndo maana havai shanga
2kukaa karibu na godauni si kupata kazi
3.usimsifu babako kwamba anajua kukimbia bali msifu na baba wa mwenzio aliyemkimbizia baba yako
4kukaa karibu na shule sio kujua kusoma
5kukaa karibu na mahakama sio kujua sheria
6kama akili ni nywele basi watu wasingenyoa siku ya mtihani na mengine mingi
wakubwa naomba kutoa hoja
1.nyoka hana kiuno ndo maana havai shanga
2kukaa karibu na godauni si kupata kazi
3.usimsifu babako kwamba anajua kukimbia bali msifu na baba wa mwenzio aliyemkimbizia baba yako
4kukaa karibu na shule sio kujua kusoma
5kukaa karibu na mahakama sio kujua sheria
6kama akili ni nywele basi watu wasingenyoa siku ya mtihani na mengine mingi
wakubwa naomba kutoa hoja