Mpinzani wa gooogle search huyu hapa

tcoal9

JF-Expert Member
Apr 5, 2009
248
62
KAMPUNI YA MICROSOFT YAJA NA Bing SEARCH ENGINE ITAKAYOTOA UPINZANI KWA GOOGLE. NIMEIPENDA KWA KWELI.
 
Mbona hizo search engine ziko nyingi, kama google alianza kama search engine lakini sasa anaoffer email service, web browsing using google chrome, kuna google earth ets so haitakua kitu kipya kwa Ms kuja na hiyo search engine by the way Hotmail was bought by Microsoft na wana search engine within the Live Branding which is part of Ms
 
Mshindani wa google hawezi huwa huyo kwa sasa hivi labda miaka 5 ijayo ndio kuna weza kuwa na wapinzani toka kwa vijana wapya wa silicon valley , siku hizi watu wanatengeneza search engine zinazotafuta vitu specific mfano mimi ni daktari nataka kutumia search engine inayohusu mambo yangu , muuza magari nae vile vile hawa ndio wanaweza kuwa wapinzani wa google siku zijazo
 
mbona hizo search engine ziko nyingi, kama google alianza kama search engine lakini sasa anaoffer email service, web browsing using google chrome, kuna google earth ets so haitakua kitu kipya kwa ms kuja na hiyo search engine by the way hotmail was bought by microsoft na wana search engine within the live branding which is part of ms

ndugu umesahau siku za karibuni google wamekuja na google wave
 
From mbona kuna search engines nyingi to. ila google ndio wamebobea sana. Google wana services nyingine sana kama gmail,
search engine,
1 blog search,
2 blogger,
3 adsense( kama advertisement brokers)
4 Adwords,
5 Picassa (web album) unapewa 1 GB,
6 page creator (kutengeneza website)
7 iGoogle (kutumia simu)
8 Reader ( kusoma feeds zako kama za hapa JF)
9 web optimizer
10 website and blog counter ( kujua visitos wako kwa site)
11 Google map
12 Earthgoogle (ni tofauti na google map, maps are static earth google is dynamic & 3D)
13Talk
14 Web histiry
15 calendar
16 Webmaster tools
17 Directory
18 Chrome (ni browser kama internet explorer and firefox)
19 Images
20 News
21 Translate
22 Alerts
23 Code
Nimechoka vidole ila and many more others
 
I beleave after 5 -> 10 years, using google would no longer be safe, google's popularity and its traffic raised a red flag for most attackers good example is gumplar, it attacked google for just few months but it affected millions of people.
For now few people who knows the real services of google ar no longer using it, like tracking services, if you ar from tz and you load Google , google would lookup your location and redirect u to your appropriet extension like .co.tz.

As someone mentioned earlier there are many search engines out there.
***So take your pick***

***Just a single men's openion***

cheers
 
Hiyo Wolfram|Alpha iko bomba sana sana nafikiri ndiyo italeta upinzania kwa google and other search engines. Nimeicheki iko fit sana
 
From mbona kuna search engines nyingi to. ila google ndio wamebobea sana. Google wana services nyingine sana kama gmail,
search engine,
1 blog search,
2 blogger,
3 adsense( kama advertisement brokers)
4 Adwords,
5 Picassa (web album) unapewa 1 GB,
6 page creator (kutengeneza website)
7 iGoogle (kutumia simu)
8 Reader ( kusoma feeds zako kama za hapa JF)
9 web optimizer
10 website and blog counter ( kujua visitos wako kwa site)
11 Google map
12 Earthgoogle (ni tofauti na google map, maps are static earth google is dynamic & 3D)
13Talk
14 Web histiry
15 calendar
16 Webmaster tools
17 Directory
18 Chrome (ni browser kama internet explorer and firefox)
19 Images
20 News
21 Translate
22 Alerts
23 Code
Nimechoka vidole ila and many more others

Na google latitude
 
Notice the difference
406_googlesearch.gif.html
405_bing.jpg.html

406_googlesearch.gif
i406_googlesearch.gif


same search done on bing...

405_bing.jpg.html
405_bing.jpg
IMG%5D
i405_bing.jpg


Nadhani wanatumia almost similar indexing algorithm. Ila Bing wanaendelea zaidi na kulimit results based on relevance. Personally ninatumia muda kidogo kupata relevant results on bing than google. But saying so, google is still force to reckon with.

Jamani kuna uwezekano na sisi kuja na search engine yetu ambayo ita organise all the unindexed records kwenye taasisi zetu nchini ?
 
Siyo kitu rahisi kwa kampuni kama Ms ku duplicate efforts kwa kuanzisha product itakayo compete na product zakwake nyingine kama Live Search.

Nimejaribu kuitumia, lakini hata hivyo page ranking yake si kama ile ya google. The most useful results are not ranked top most of the time.

But I believe i could be just another useful product out there.... time will tell.
 
Jamani kuna uwezekano na sisi kuja na search engine yetu ambayo ita organise all the unindexed records kwenye taasisi zetu nchini ?

Yah, ni jambo la msingi sana uncle
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom