Idimulwa
JF-Expert Member
- May 27, 2011
- 4,503
- 1,722
Diwani wa kata ya Nzera(ccm) bwana MSUKUMA ameshinda nafasi ya uenyekiti wa ccm katika mkoa mya wa Geita
Ikumbukwe bwana MSUKUMA aliwahi kuwa mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Geita baada ya uchaguzi mkuu
2010,lakini alienguliwa kwa mizengwe na madiwani wa chama chake ambao ni wengi kwa kumpigia kura ya kutokuwa na
imani naye, mara tu alipoanza kufuatilia tuhuduma za ufisadi ndani ya miradi mbalimbali iliyokuwa chini ya halmashauri,
hali iliyo zua mtafaruku mkubwa ndani ya chama chake.
Amewashinda mwenyekiti wa zamani wa halmashauri ya wilaya ya Geita na diwani wa kata ya Kamena ndugu Ikangala na kada wa siku nyingi wa ccm ndugu Luhemeja.
Ikumbukwe bwana MSUKUMA aliwahi kuwa mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Geita baada ya uchaguzi mkuu
2010,lakini alienguliwa kwa mizengwe na madiwani wa chama chake ambao ni wengi kwa kumpigia kura ya kutokuwa na
imani naye, mara tu alipoanza kufuatilia tuhuduma za ufisadi ndani ya miradi mbalimbali iliyokuwa chini ya halmashauri,
hali iliyo zua mtafaruku mkubwa ndani ya chama chake.
Amewashinda mwenyekiti wa zamani wa halmashauri ya wilaya ya Geita na diwani wa kata ya Kamena ndugu Ikangala na kada wa siku nyingi wa ccm ndugu Luhemeja.