Wana Ndugu,
Tunaomba Mphamvu atueleze Lengo lake la kuweka avatar ya majeruhi wa ajali aliye jaa majeraha Kichwani.
Wengine tuna moyo dhaifu sana. kama hata ikiwezekana tunaomba MODS musaidie.
Asente kwa msaada
mmmh, kunani tena?
Ngoja niende intanet kefu
Wana Ndugu,
Tunaomba Mphamvu atueleze Lengo lake la kuweka avatar ya majeruhi wa ajali aliye jaa majeraha Kichwani.
Wengine tuna moyo dhaifu sana. kama hata ikiwezekana tunaomba MODS musaidie.
Asente kwa msaada
Hajitambui huyu shogaWana Ndugu,
Tunaomba Mphamvu atueleze Lengo lake la kuweka avatar ya majeruhi wa ajali aliye jaa majeraha Kichwani.
Wengine tuna moyo dhaifu sana. kama hata ikiwezekana tunaomba MODS musaidie.
Asente kwa msaada
Atakuwa ni mtu nimekwaruzana nae mahali, kaja na ID nyingine kaamua kulianzisha. Intel yangu inaniwezesha kumfahamu na kumshughulika, lakini ya nini?Mkuu vipi, mbona unajibu thread ya mwaka 2012 tena kwa jazba? Mbona uzi wa zamani sana, miaka mitano na nusu iliyopita? Au labda kuna kitu mi sielewi
Mkuu vipi, mbona unajibu thread ya mwaka 2012 tena kwa jazba? Mbona uzi wa zamani sana, miaka mitano na nusu iliyopita? Au labda kuna kitu mi sielewi
Anafukua makaburi ya 2012 kwa vitaMkuu vipi, mbona unajibu thread ya mwaka 2012 tena kwa jazba? Mbona uzi wa zamani sana, miaka mitano na nusu iliyopita? Au labda kuna kitu mi sielewi