Mpenzi wangu mpya anakimbia shoo kwa kutoa visingizio

Equation x

JF-Expert Member
Sep 3, 2017
29,482
40,497
Ni wiki ya pili sasa niko naishi na mpenzi wangu mpya ndani ya nyumba moja, pika nipakue; mwanzoni kabla ya kuja aliniahidi kutoa shoo kabambe kila siku, na alipofika siku za mwanzo alikuwa akitoa shoo kabambe, mpaka kidume nikasema kimoyo moyo hapa kweli nimepata mke.

Sasa tangu juzi, amekuwa ananikwepa kwepa kwa shoo; nikienda chumbani, yeye anaenda jikoni anajifanya yuko bize na usafi, Nikimfuata kwenye sofa ananyanyuka na kwenda kujiweka bize na vitu vingine.

Muda wa kulala ukifika, atajifanya anaosha vyombo ili nipitiwe na usingizi, na kuja kulala kimya kimya saa nane za usiku. Yote ni kutokutaka kupelekewa moto.

Ghafla mida hii wakati natoka chumbani, tukakutana kolidoni, ikabidi nimkumbatie, na kumuuliza kwa nini unanikwepa kwepa? Akanijibu,'' umezidisha sana kunipelekea moto, utaniua mtoto wa watu; kama inawezekana tuwe tunapumzika angalau kila baada ya siku mbili''.

Nikabaki namtazama tu usoni, ingawa sikuweza kumjibu; na mimi kuvumilia kila baada ya siku mbili naona ni mateso sana.

Hapa nilipo bado natafakari; Je huyu ananipenda kweli?​
 
Ni wiki ya pili sasa niko naishi na mpenzi wangu mpya ndani ya nyumba moja, pika nipakue; mwanzoni kabla ya kuja aliniahidi kutoa shoo kabambe kila siku, na alipofika siku za mwanzo alikuwa akitoa shoo kabambe, mpaka kidume nikasema kimoyo moyo hapa kweli nimepata mke.

Sasa tangu juzi, amekuwa ananikwepa kwepa kwa shoo; nikienda chumbani, yeye anaenda jikoni anajifanya yuko bize na usafi, Nikimfuata kwenye sofa ananyanyuka na kwenda kujiweka bize na vitu vingine.

Muda wa kulala ukifika, atajifanya anaosha vyombo ili nipitiwe na usingizi, na kuja kulala kimya kimya saa nane za usiku. Yote ni kutokutaka kupelekewa moto.

Ghafla mida hii wakati natoka chumbani, tukakutana kolidoni, ikabidi nimkumbatie, na kumuuliza kwa nini unanikwepa kwepa? Akanijibu,'' umezidisha sana kunipelekea moto, utaniua mtoto wa watu; kama inawezekana tuwe tunapumzika angalau kila baada ya siku mbili''.

Nikabaki namtazama tu usoni, ingawa sikuweza kumjibu; na mimi kuvumilia kila baada ya siku mbili naona ni mateso sana.

Hapa nilipo bado natafakari; Je huyu ananipenda kweli?​
Tukusaidieje mkuuu sijaelewa shida yak9 kwa kweli
 
Itakua unamkausha utelezi
Moto mkali
IMG_20230325_160029.jpg
 
Ni wiki ya pili sasa niko naishi na mpenzi wangu mpya ndani ya nyumba moja, pika nipakue; mwanzoni kabla ya kuja aliniahidi kutoa shoo kabambe kila siku, na alipofika siku za mwanzo alikuwa akitoa shoo kabambe, mpaka kidume nikasema kimoyo moyo hapa kweli nimepata mke.

Sasa tangu juzi, amekuwa ananikwepa kwepa kwa shoo; nikienda chumbani, yeye anaenda jikoni anajifanya yuko bize na usafi, Nikimfuata kwenye sofa ananyanyuka na kwenda kujiweka bize na vitu vingine.

Muda wa kulala ukifika, atajifanya anaosha vyombo ili nipitiwe na usingizi, na kuja kulala kimya kimya saa nane za usiku. Yote ni kutokutaka kupelekewa moto.

Ghafla mida hii wakati natoka chumbani, tukakutana kolidoni, ikabidi nimkumbatie, na kumuuliza kwa nini unanikwepa kwepa? Akanijibu,'' umezidisha sana kunipelekea moto, utaniua mtoto wa watu; kama inawezekana tuwe tunapumzika angalau kila baada ya siku mbili''.

Nikabaki namtazama tu usoni, ingawa sikuweza kumjibu; na mimi kuvumilia kila baada ya siku mbili naona ni mateso sana.

Hapa nilipo bado natafakari; Je huyu ananipenda kweli?​
acha kututania banaa
 
Ni wiki ya pili sasa niko naishi na mpenzi wangu mpya ndani ya nyumba moja, pika nipakue; mwanzoni kabla ya kuja aliniahidi kutoa shoo kabambe kila siku, na alipofika siku za mwanzo alikuwa akitoa shoo kabambe, mpaka kidume nikasema kimoyo moyo hapa kweli nimepata mke.

Sasa tangu juzi, amekuwa ananikwepa kwepa kwa shoo; nikienda chumbani, yeye anaenda jikoni anajifanya yuko bize na usafi, Nikimfuata kwenye sofa ananyanyuka na kwenda kujiweka bize na vitu vingine.

Muda wa kulala ukifika, atajifanya anaosha vyombo ili nipitiwe na usingizi, na kuja kulala kimya kimya saa nane za usiku. Yote ni kutokutaka kupelekewa moto.

Ghafla mida hii wakati natoka chumbani, tukakutana kolidoni, ikabidi nimkumbatie, na kumuuliza kwa nini unanikwepa kwepa? Akanijibu,'' umezidisha sana kunipelekea moto, utaniua mtoto wa watu; kama inawezekana tuwe tunapumzika angalau kila baada ya siku mbili''.

Nikabaki namtazama tu usoni, ingawa sikuweza kumjibu; na mimi kuvumilia kila baada ya siku mbili naona ni mateso sana.

Hapa nilipo bado natafakari; Je huyu ananipenda kweli?​
Ana Mimba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom