Mpenzi wangu hataki kunipa tunda, nifanyeje?

Jeff

JF-Expert Member
Sep 26, 2009
1,293
199
wana JF, nina rafaiki yangu ambaye bado hatukufikia hatua ya uchumba,kwa mara ya kwanza baada ya kunikubalia ombi langu,alinisumbua sana kunipa tunda,mpaka tukatana kuachana ndio akakubali kunipa,na baada ya kunipa alisema alikuwa anaogopa kwa sababu hakuwahi kumegwa, na sasa nimeshammega mara kadhaa, lakini hivi juzi tu nimemkumbushia kuhusu kula tunda ameniambia tusiwe tunafanya hivyo tena tusubiri mpaka tufunge ndoa,mana anasema tunafanya dhambi, nami nilikubali lakini kwa sasa naona kukosa kitu muhimu kwani nammiss sana kiasi cha kushindwa kuvumilia,
sasa tatizo linakuja suala la ndoa bado litachukua muda kama mwaka na zaidi hivi,ina mana muda wote huo nisile tunda langu? nafikiria kumsaliti sasa kwani siwezi kukaa muda wote huo,nifanyeje jamani?
 
duh, swali gumu!.
ngoja nikafikirie kwa umakini zaidi, kesho asubuhi dataz ntakumwagia.
ila kwa sasa kama kweli unampenda wewe vumilia tu.
kuna watu wanafukuzia demu kwa miaka 2, sembuse wewe na tunda umeshakula?.
mpwa mvumilie tu, kama kweli unampenda basi "SUBIRA YAVUTA KHERI!"
 
hehe mkuu mbona hiyo simple tu yaani hapo kazi na faida ya spare tairi ndiyo inaonekana wazi wazi.....lol......
 
Kakak huyo wako wala usiwe na haraka namna hiyo utammega mpaka uchoke vumilia baba, hawa wenzetu wanapenda sana kuonyweshwa kwamba unawajali na ku care so vumilia baba
 
wana JF, nina rafaiki yangu ambaye bado hatukufikia hatua ya uchumba,kwa mara ya kwanza baada ya kunikubalia ombi langu,alinisumbua sana kunipa tunda,mpaka tukatana kuachana ndio akakubali kunipa,na baada ya kunipa alisema alikuwa anaogopa kwa sababu hakuwahi kumegwa, na sasa nimeshammega mara kadhaa, lakini hivi juzi tu nimemkumbushia kuhusu kula tunda ameniambia tusiwe tunafanya hivyo tena tusubiri mpaka tufunge ndoa,mana anasema tunafanya dhambi, nami nilikubali lakini kwa sasa naona kukosa kitu muhimu kwani nammiss sana kiasi cha kushindwa kuvumilia,
sasa tatizo linakuja suala la ndoa bado litachukua muda kama mwaka na zaidi hivi,ina mana muda wote huo nisile tunda langu? nafikiria kumsaliti sasa kwani siwezi kukaa muda wote huo,nifanyeje jamani?

wa ukweli huyo K. Vuta subira au harakisha ndoa!! unataka kumega megatu alafu!! kama umemis sana fungeni ndoa fasta ili ule halaal!!!
 
Vumilia baba,uyu binti ni wa ukweli kabisa,au kama vipi funga ndoa naye now now
 
wana JF, nina rafaiki yangu ambaye bado hatukufikia hatua ya uchumba,kwa mara ya kwanza baada ya kunikubalia ombi langu,alinisumbua sana kunipa tunda,mpaka tukatana kuachana ndio akakubali kunipa,na baada ya kunipa alisema alikuwa anaogopa kwa sababu hakuwahi kumegwa, na sasa nimeshammega mara kadhaa, lakini hivi juzi tu nimemkumbushia kuhusu kula tunda ameniambia tusiwe tunafanya hivyo tena tusubiri mpaka tufunge ndoa,mana anasema tunafanya dhambi, nami nilikubali lakini kwa sasa naona kukosa kitu muhimu kwani nammiss sana kiasi cha kushindwa kuvumilia,
sasa tatizo linakuja suala la ndoa bado litachukua muda kama mwaka na zaidi hivi,ina mana muda wote huo nisile tunda langu? nafikiria kumsaliti sasa kwani siwezi kukaa muda wote huo,nifanyeje jamani?


yeye mbona ataweza kukaa muda wote...jaribu kuwa mvumilivu...fikiria upande wa pili wa shilingi,naye akifikiria kukusaliti itatokea nini?

maana pia mademu wengine wanajifanya wana adabu na hawapendi dhambi kumbe wanamegwa pembeni,kwako anakwambia mpaka ndoa.
 
duh, swali gumu!.
ngoja nikafikirie kwa umakini zaidi, kesho asubuhi dataz ntakumwagia.
ila kwa sasa kama kweli unampenda wewe vumilia tu.
kuna watu wanafukuzia demu kwa miaka 2, sembuse wewe na tunda umeshakula?.
mpwa mvumilie tu, kama kweli unampenda basi "SUBIRA YAVUTA KHERI!"
Mpwa mwaka na zaidi si mchezo kukaa bila hiko chakula,kwani nilikubali lakini sasa naona inanishinda,mana kinachofuata ni kumsaliti,ndio mana sielewi nifanyeje hapa
 
Mpwa mwaka na zidi si mchezo kukaa bila hiko chakula,kwani nilikubali lakini sasa naona inanishinda,mana kinachofuata ni kumsaliti,ndio mana sielewi nifanyeje hapa

oa. ufanyeje ufanyeje, we mpwa inaelekea unataka kudonoa donoa afu uje umwachie nani makombo???
 
Kiongozi Kunambi kumbuka kuwa wapenzi sio lazima saana kwenda kitandani,kwenda kitandani ni sehemu ndogo saaana katika issue nzima ya mapenzi,kama mwenzako anaona kwenda kitandani ni dhambi mvumilie mpaka utapojihalalishia,kua mvumilivu kiongozi,na mambo mazuri hayataki haraka kiivyo!!!
 
Vumilia baba,uyu binti ni wa ukweli kabisa,au kama vipi funga ndoa naye now now

kufunga nae sasa sio rahisi kwani hatujajiandaa lolote na mimi ndio natafuta kazi sasa kwa hiyo sina kitu
 
Kakak huyo wako wala usiwe na haraka namna hiyo utammega mpaka uchoke vumilia baba, hawa wenzetu wanapenda sana kuonyweshwa kwamba unawajali na ku care so vumilia baba
ma care nampa kama kawa ila tatizo kwenye kumega ndio kanigomea sasa,na mimi namhitaji sana,sina pengine pa kumega kupoteza muda
 
[/COLOR]

yeye mbona ataweza kukaa muda wote...jaribu kuwa mvumilivu...fikiria upande wa pili wa shilingi,naye akifikiria kukusaliti itatokea nini?

maana pia mademu wengine wanajifanya wana adabu na hawapendi dhambi kumbe wanamegwa pembeni,kwako anakwambia mpaka ndoa.
hilo kumbe umeliona mkuu akishajua nawe unampenda bassi ndio anafanya hivyo,anajifanya ana msimamo kwangu kumbe anamegwa nje,ndicho hasa ninachoogopa anaweza akawa anamegwa na wengine
 
kufunga nae sasa sio rahisi kwani hatujajiandaa lolote na mimi ndio natafuta kazi sasa kwa hiyo sina kitu

ma care nampa kama kawa ila tatizo kwenye kumega ndio kanigomea sasa,na mimi namhitaji sana,sina pengine pa kumega kupoteza muda


mkuu, umechunguza kwa nini mwanzo alikupa na sasa hivi amekugomea>? au hakuijua dhambi mwanzoni? au ndo 'ametubu'

chunguza, unaweza kukuta unaibiwa hivi hivi lol

halafu hilo la harusi, wataka ila ya mabilioni ama niaje, najua ni ngumu kwa sasa hivi lakini kama mpo mkondo huo ada ya ndoa ni kidogo sana that means uachane na mambo ya sherehe,

otherwise, mkalishe chini umeweleza hatari zilizopo usikie atasemaje.
 
oa. ufanyeje ufanyeje, we mpwa inaelekea unataka kudonoa donoa afu uje umwachie nani makombo???

sio kudonoa donoa bht, ni kweli namhitaji, kwani akindelea kunipa vibaya as long as anajua kuwa nampenda na namhitaji pia,kwa na nilishamega kwa nn asiendelee kunipa tu tufurahie mpaka tutakapofunga ndoa?
 
sio kudonoa donoa bht, ni kweli namhitaji, kwani akindelea kunipa vibaya as long as anajua kuwa nampenda na namhitaji pia,kwa na nilishamega kwa nn asiendelee kunipa tu tufurahie mpaka tutakapofunga ndoa?
Hii ni dhambi vumilia wewe
 
Ndugu yangu Kunambi, umepata msichana/binti mzuri ambaye anatambua kuwa hahitaji kuwa na mahusiano ya kimwili na mvulana mpaka afunge ndoa.

Ni bahati mbaya kwamba umemshawishi mpaka akalazimika kufanya kitu ambacho moyo wake haukuwa unapenda. Hili inawezekana likawa dosari katika ndoa yenu kwani mkishaoana inawezekana akakumbuka na akakosa kukuamini. Kwa maana ya kuwa kama ulimmega kabla hujamuoa inawezekana ukamega hata wengine.

Ni bahati mbaya kwa dada zetu kwamba wakati mwingine wakipenda sana wanajikuta wanakubali anachohitaji mpenzi wake kwa kuhofia kumkosea au kumkosa kwani anakuwa hana uhakika wa kumpata mwingine.

Nakushauri vumilia, na shida ni kwa sababu umeshaanza kumega. Hata tuliooa/kuolewa ndiyo maana tunda linakuwa tamu kila iitwapo leo na unatamani usilikose. Kinachotakiwa vulimilia na fanya mipango ya kufunga ndoa; tunda litakuwa halali yako kila siku (kama utaweza).
 
Kiongozi Kunambi kumbuka kuwa wapenzi sio lazima saana kwenda kitandani,kwenda kitandani ni sehemu ndogo saaana katika issue nzima ya mapenzi,kama mwenzako anaona kwenda kitandani ni dhambi mvumilie mpaka utapojihalalishia,kua mvumilivu kiongozi,na mambo mazuri hayataki haraka kiivyo!!![/B]


Mhh, Ngoja ngoja utakuta mwana si wako. Unaweza ukawa mvumilivu ukala zilizo oza badala ya mbivu.

Mapenzi yapo ya aina nyingi, kuna mapenzi ya kaka na dada au mama na mtoto, haya huwa hayaendi kitandani. lakini ukimwambia mwezako kuwa mapenzi sio lazima kitandani utakuwa una mpotosha kwani wamechangia damu mpaka akae mwaka mzima bila ya kwenda kitandani!!!??
 
Ndugu yangu Kunambi, umepata msichana/binti mzuri ambaye anatambua kuwa hahitaji kuwa na mahusiano ya kimwili na mvulana mpaka afunge ndoa.

Ni bahati mbaya kwamba umemshawishi mpaka akalazimika kufanya kitu ambacho moyo wake haukuwa unapenda. Hili inawezekana likawa dosari katika ndoa yenu kwani mkishaoana inawezekana akakumbuka na akakosa kukuamini. Kwa maana ya kuwa kama ulimmega kabla hujamuoa inawezekana ukamega hata wengine.

Ni bahati mbaya kwa dada zetu kwamba wakati mwingine wakipenda sana wanajikuta wanakubali anachohitaji mpenzi wake kwa kuhofia kumkosea au kumkosa kwani anakuwa hana uhakika wa kumpata mwingine.

Nakushauri vumilia, na shida ni kwa sababu umeshaanza kumega. Hata tuliooa/kuolewa ndiyo maana tunda linakuwa tamu kila iitwapo leo na unatamani usilikose. Kinachotakiwa vulimilia na fanya mipango ya kufunga ndoa; tunda litakuwa halali yako kila siku (kama utaweza).

kama nikishindwa hapo nilipobold? na ndio tatizo lilipo hapo
 
wATU WALIOTEKWA NA SHETANI UTAWAFAHAMU TU, KWA KUENDEKEZA UZINZI USIO NA MAANA, KWANI KUZINI NI CHAKULA KWAMA UKIKOSA UTAKUFA? SASA HATA KAMA UKIWA TAYARI UMEOA THEN MKEO ANAPEWA OPERATION NA HATAKIWI KUFANYA TENDO LA NDOA UTAFANYAJE? AU NDO MASUALA YA JOLLY YANAPOCHUKUA MKONDO WAKE? INAWEZEKANA KABISA KUKAA MIAKA ZAIDI YA MMOJA BILA KUMEGA NA HAISUMBUI SANA UNACHOTAKIWA NI KUUKUBALI UKWELI KWAMBA MWENZAKO AMEONA MNAFANYA DHAMBI.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom