m-boy
Senior Member
- Aug 20, 2023
- 147
- 479
Sishabikii ngono lkn ,muweke chini usiku wakati wa kulala mwambie achague mambo mawili, kupima na kufanya tendo Au kila mtu aendelee na hamsini zake, mwambie asubui akupe jibu , ukiamka chukua jibu lako kama mnakwenda kupima sawa, kama anarudi kwao sawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app