Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,730
- 47,268
Uko mkoa gani ? Watu saikolojia.....washauri nasaha ......kwenye mitandao wapo wengimfano Aunt Sadaka......hata kwa simu mnaweza kupanga session akaongea nae...au mkakutana
Huwa siaminigi kwenye mambo ya kiushauri ya saikolojia naonaga kama hayatoi majibu kuna watu hata umshauri vipi habadiliki, tabia huwa ni kazi sana kumbadilisha mtu mpaka aamue mwenyewe