Access Denied
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 655
- 209
Pole sana kijana, ila hakuna njia zaidi ya kuachana na huyo dada maana tayari ameisha athirika pamoja hivyo tumieni ushauri mliopewa angaza na pia usimuache kwa haraka subiri hadi atakapokubaliana na hiyo hali ndipo muongelee maisha yenu ya badae na hali halisi ya wewe kutomuoa tena.