Paul dybala
JF-Expert Member
- Jul 30, 2023
- 304
- 1,096
Wakuu, mpenzi wangu Leo jioni kanitumia meseji ya kuwa anataka kutoa mimba. Mimi nimemkataza,na nimemuonya na asijaribu kabisa.
Sasa amekuwa mbishi na anataka nimsapoti katika eneo la pesa ili aweza kufanikisha zambi hio...
Nimemueleza kuwa Mimi sitohusika na chochote kibaya kitakacho mtokea,pili nimemwambia ni makosa kisheria,Tatu nimemwambia anaweza kufa akifanya masihara.
Yeye kanitisha kuwa akipata matatizo Mimi nitahusika ..sasa wakuu Mimi nitahusikaje hapo kwa sababu mimi sikumbaka na wakati tunafanya mapenzi tulikuwa tunakubaliana.
Naombeni ushauri hapa nifanyaje?ili Kila mtu apite hivi kivyake maana huyo manzi ashakuwa tatizo saivi.
Sent from my Pixel 3a XL using JamiiForums mobile app
Sasa amekuwa mbishi na anataka nimsapoti katika eneo la pesa ili aweza kufanikisha zambi hio...
Nimemueleza kuwa Mimi sitohusika na chochote kibaya kitakacho mtokea,pili nimemwambia ni makosa kisheria,Tatu nimemwambia anaweza kufa akifanya masihara.
Yeye kanitisha kuwa akipata matatizo Mimi nitahusika ..sasa wakuu Mimi nitahusikaje hapo kwa sababu mimi sikumbaka na wakati tunafanya mapenzi tulikuwa tunakubaliana.
Naombeni ushauri hapa nifanyaje?ili Kila mtu apite hivi kivyake maana huyo manzi ashakuwa tatizo saivi.
Sent from my Pixel 3a XL using JamiiForums mobile app