No war
Member
- Jun 28, 2013
- 26
- 8
Mimi ni kijana wa miaka ishiri na nne ninaishi hapa mkoani Arusha na pia ni mwanachuo ktk chuo kimoja kilichopo karibu kabisa na hospitali ya seliani mjini.
Ninae mpenzi wangu ambae tunapendana sana na mapenzi yetu yalianza miaka miwili iliyopita na ktk miaka yote hiyo hatakuwahi kukutana kimwili kwa kuamini kuwa sisi tunatakiwa kuwa mume na mke siku za baadae.
Kwa muda sasa mpenzi wangu huyo alikuwa akinishauri mara kwa mara juu ya swala la kupima na ndipo siku ya jana mimi na yeye tulipoenda kupima ktk kituo cha Angaza kilichopo mjini hapa na majibu yalotoka ni kwamba mpenzi wangu huyo ameathirika na mimi nipo salama.
Kusema kweli toka majibu hayo yatoke mpenzi wangu huyo alilia sana kwa kuamini kuwa nitamuacha na ukweli ni kwamba nampenda sana na sijajua mpaka muda huu kwanini aliamua kunishawishi tukapime.
Bado moyo wangu unampenda sana.
Naombeni ushauri nifanyaje,nimuache au nifanye nini ?
Ninae mpenzi wangu ambae tunapendana sana na mapenzi yetu yalianza miaka miwili iliyopita na ktk miaka yote hiyo hatakuwahi kukutana kimwili kwa kuamini kuwa sisi tunatakiwa kuwa mume na mke siku za baadae.
Kwa muda sasa mpenzi wangu huyo alikuwa akinishauri mara kwa mara juu ya swala la kupima na ndipo siku ya jana mimi na yeye tulipoenda kupima ktk kituo cha Angaza kilichopo mjini hapa na majibu yalotoka ni kwamba mpenzi wangu huyo ameathirika na mimi nipo salama.
Kusema kweli toka majibu hayo yatoke mpenzi wangu huyo alilia sana kwa kuamini kuwa nitamuacha na ukweli ni kwamba nampenda sana na sijajua mpaka muda huu kwanini aliamua kunishawishi tukapime.
Bado moyo wangu unampenda sana.
Naombeni ushauri nifanyaje,nimuache au nifanye nini ?