Papizo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 4,944
- 1,431
EXACTLY!!! Hua tu sipendi kihoma cha kutopigiwa simu siku hio.... Dah! Naona niachie hapo.... Pole Fe lady naamini you(we) will pull thru....
Kumbe tupo wengi jamani,ila ndio hivyo cha muhimu mawasiliano tu na kuwa kwa karibu zaidi ndio kinacho matter, inauma ila ndio hivyo saa zingine fikra mbaya zinakuja kwamba au mwenzangu yupo na mtu now vipi hiyo huwa haufikirii??