don-oba
JF-Expert Member
- Dec 8, 2011
- 1,387
- 677
Ebo!, yaani tumfute machozi kwa kumpa kura?. Kwanini hajatulia nyumbani arobaini iishe ya mzazi wake?. Halafu huyo Lusinde akili yake inabebeka kwenye kiganja. Awe anatafuta maneno ya kuongea...kwa mfano tumpe kura ili akapate mshahara. Hatujagui watu kwenda bungeni wapate mshahara! Kuna mtu amenidokeza kwamba Sioi katika mazishi ya babake hakutoa hata tone la chozi. Au ndio tuseme alikua analia kiume?