Kuna msemo unasema ' To love is nothing, to be loved is something, to love and to be loved is everything' Ndio maana nimesema mpende akupendae Mapenzi ni kitu cha muhimu sana katika maisha ili uwe na maisha ya furaha siku zote lazima uwe na mapenzi kweli, hizi kesi za Baba katembea na housegirl, mama haouseboy, small house n k. Hazitakuwepo kama tukiwa na mapenzi ya kweli Trust in God, mchana mwema wa JF na mlo mwema ni hayo tu kwa leo.