HARUFU
Platinum Member
- Jan 21, 2014
- 31,552
- 48,148
Nimesikia waCongo wana kawaida ya kuwapa limbwata wake zao. Mke anakuwa mchapa kazi, Mume anakuwa muuza sura, hajishughulishi na chochote zaidi ya Kugegedana, na kumtegemea Mke kwa kila kitu.
Na pia wanawafunga wanawake wanakuwa hawachepuki.
Jamani mwenye data atusaidie, ya kweli haya?
Na pia wanawafunga wanawake wanakuwa hawachepuki.
Jamani mwenye data atusaidie, ya kweli haya?