Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 3,994
- 5,437
Habari,
Leo naomba msaada maana nimekutana na mtu akaniambia anadawa ya LIBWATA kwa wake za watu yaani mkeo hapindui wala hawezi kukusaliti hata utumbuliwe na magu bado atakua nawe,
Hoja ni kwamba kweli ilo libwata lipo la mume kumroga mke au atakula pesa zangu tuu huyu mtaalamu?
Maana mke wangu kila siku anasifia vitu vizuri na matajiri tuu nikikasirika ananiambia ndo nijikaze niwafikie.
Nawasilisha.
Leo naomba msaada maana nimekutana na mtu akaniambia anadawa ya LIBWATA kwa wake za watu yaani mkeo hapindui wala hawezi kukusaliti hata utumbuliwe na magu bado atakua nawe,
Hoja ni kwamba kweli ilo libwata lipo la mume kumroga mke au atakula pesa zangu tuu huyu mtaalamu?
Maana mke wangu kila siku anasifia vitu vizuri na matajiri tuu nikikasirika ananiambia ndo nijikaze niwafikie.
Nawasilisha.