CHADEMA bhana, mnafanya propaganda mpaka kwenye maisha ya watu?
Kwa hiyo mnataka kusema waliomjeruhi huyo jamaa ni CCM? Halafy na huyo mjeruhiwa ni part of the deal kwamba aumizwe ili CDM ibomolewe.
Mh, kweli kama critical analysis ndivyo hivi ilivyo, no wonder Tanzania ni taifa lenye rasilimali nyingi lakini liknalookngoza kwa umaskini duniani.
heb jiulze kwanza walomwekea sumu mwakyembe ni akina nan?? then jiulze tena walomwekea sumu nyngne mwandosya ni akina nan?? endelea kujiuliza walowateka kubanda na ulimboka ni akina nan?? unapofikia mwisho jiulize waliorusha bom arusha ni akina nan?? halaf tafakari kesi zao ziliishia wap?? ukipata jibu kaa nalo then angalia ni akina nan wasio na hofu ya Mungu wanaoweza kufanya unyama huo hapa Tz umepandshiwa bei ya umeme baada ya kupata gesi mtwara uhoji we unahoji vitu vya kijinga acha kutumia makalio kufikiri