Mpambano mkali kituo cha Polisi Nzega stendi kati ya Abiria na Polisi

ALT

Member
Oct 6, 2021
78
90

Wanabodi

Natumai mungu ni mwema kwa kila mmoja kwa kupata zawadi ya uhai.

Muhtasari wa habari.

Moja kwa moja kwenye mada. Mnamo tarehe 5/10/2021 nikiwa natoka Arusha kuelekea mwanza na basi la kiazi kitamu ulizuka msuguano mkali kituoni cha polisi Nzega stendi.

Polisi walimshusha dereva kwenye gari kimya kimya wakampandisha kwenye difender hadi kituo cha Polisi central. Abiria baada ya kutomuona dreva, tukaenda kituoni kuhoji, askari wa zamu anasema dereva kasnikwa, kapelekwa central, moto ukawaka, abiria tunamtaka dereva.

Habari kamili.

Safari kutoka arusha ilianza saa 11:57 alfajiri stendi ya mabasi ya kwenda mikoani. Gari baada ya kukaguliwa lilitoka. Baada ya masaa matatu, tulifika stendi ya babati mkoani manyara, trafiki polisi walikagua gari tena, wakakumbusha abiria kufunga mkanda, kama baada ya dakika 20 tangu kutoka stendi ya babati gari likaanza kutoa harufu kana kwamba matairi yanaungua kumbe ni clutch plate inaungua na imeisha. Gari likasimama likashindwa kwenda, abiria tusijue hili wala lile safari imesimama, konda akasema abiria tunaomba mvumilie, dreva ameenda kuchukua maziwa, kumbe ni fiksi, abiria wakamwambiia usitufanye watoto wadogo, gari ni mbovu, clutch plate iimeungua, gia haziingi, hakuna maziwa wala nini. Dereva akomba radhi akasema gari limeharibika.

Ilikua karibu saa 3:45 asubuhi, wakajaribu kutengeneza hadi saa tano kamili, gari likawashinda. Wakapiga simu, fundi akatokea Kateshi, akafika saa sita kasoro kama dakika 5 akiwa na clutch plate mpya. Utengenezaji ukaanza rasmi, baada ya masaa 3, karibia saa 9 na nusu mchana, gari likatengamaa.

Safari ikaanza, kwakweli tulikua tumechelewa sana, kwa wastani safari ya Arusha-Mwanza ni kwamba ukitoka saa 12 alfariji ukichelewa njiani basi saa 12 jioni unakua umefika mwanza.

Dreva alijitahidi kupiga gia, tuliingia mkoa wa Tabora, wilaya ya Nzega, Nzega stendi saa mbili kama na robo usiku. Wakati tunaelekea stendi tuliipita gari ya polisi, Toyota Hilux double cabin, kumbe ilikua ni gari yya RPC. RPC akapiga simu gari ishikwe stendi hapo Nzega kwasababu dereva yuko na mwendo mkali, kaipita gari yake wakati yeye RPC yuko kwenye themanini akutegemea apitwe na basi.

Bana kumbe dere alipoingia stendi, wakashuka kama kuchimba dawa, trafiki polisi wa zamu/sajenti, akamshika, akamuweka chini ya ulinzi, patrol defenda ikafika, ikamchukua mpaka central ya Tabora usiku huo. Abiria tulitangaziwa, chimbeni dawa jamani, chukueni chakula, tukitoka hapa hatusimami popote. ilipopita nusu saa safari haianzi, ndipo abiria mmoja akasema, wakati ameenda haja, ameona dereva kapakiwa kwenye difenda, abiria tukachachamaa.

TUKAENDA WOTE KITUO CHA POLISI HAPO STENDI

Sajenti, dereva yuko wapi? Ameshikwa kwa amri ya RPC na kapelekwa central. Abirira wakamuuliza, tunaendeleaje na safari? Akajibu, dereva mwingine yupo, awapeleke. Abiria wakahoji, dereva mwingine yuko wapi? Na, kwanini umchukkue dereva bila kututaarifu? Inakuaje unafanya kazi katika hali ya ajabu namna hii? Aaaya , tupe dereva uyo wa pili atupeleke. Afande kimya. Abiria, sisi tumetoka Chuga na dereva mmoja na huyo pekee ndiye tunaye.

Kama hoja ni overspeed, mbona gari nyingi zina-overspeed? Abiria wanamhoji sajenti, sajenti kimya. Abiria na connection zetu tuakapiga simu usalama wa taifa, kwa IGP na media kadhaa na kwa RTO mkoa wa Tabora. RTO akaja, alipofika, akakutana na wananchi wenye hasira na waliochoka na safari, baada ya kubanwa kwelikweli, ikabidi awe mpole. Akaomba apige simu awasilaine na wakubwa wake, mwishowe aksema, dereva anakuja. Abiria wakafurahi.

Yapata saa sita na dakika tano usiku, dereva akaletwa na difenda, dereva akitabasamu baada ya airia kumtoa ndani huko ambako alikua ameishawekwa. Safari ikaendelea. Wazee wa PGO ziro Abiria 3

MAFUNZO MAKUU KATIKA SAFARI HIZI ZA MIKOANI NNILIYOJIFUNZA

1. Polisi/wazee wa PGO bado wao hawafanyi kazi kwa weledi, wanachukua sana rushwa, magari flani yanazuiwa na magari flani hayazuiwi.

2. Polisi ndio chanzo cha ajali. Arusha wameruhusu gari itoke stendi wakati ina dereva mmoja peke yake, kitu hiki ni kinyume na sheria, inakuaje Tabora ndio wagundue?

3. Wamiliki wa mabasi, baadhi yenu, hakikisheni mnafanyia service vyombo vyenu. Haiwezekani kama hili la liazi kitamu clutch plate iungue namna ile bila kufahamika, tumetoka tabora saa 6 usiku, kufika shinyanga, gari likapiga pancha, tukapoteza muda tena.

4. Raia, simamia sheria, polisi ni waoga sana mkishindana nao kwa hoja na mkiwa na umoja, lolote lile linawezekana.

MWISHO KABISA

Mungu ni mwema, safari ilimalizika saa 9:45 alfajiri tarehe 6/10/2021 kila abiria akiwa salama salmini.

20211005_133724.jpg

.


20211005_133718.jpg

 
View attachment 1967569
Wanabodi

Natumai mungu ni mwema kwa kila mmoja kwa kupata zawadi ya uhai.

Muhtasari wa habari.

Moja kwa moja kwenye mada. Mnamo tarehe 5/10/2021 nikiwa natoka Arusha kuelekea mwanza na basi la kiazi kitamu ulizuka msuguano mkali kituoni cha polisi Nzega stendi.

Polisi walimshusha dereva kwenye gari kimya kimya wakampandisha kwenye difender hadi kituo cha Polisi central. Abiria baada ya kutomuona dreva, tukaenda kituoni kuhoji, askari wa zamu anasema dereva kasnikwa, kapelekwa central, moto ukawaka, abiria tunamtaka dereva.

Habari kamili.

Safari kutoka arusha ilianza saa 11:57 alfajiri stendi ya mabasi ya kwenda mikoani. Gari baada ya kukaguliwa lilitoka. Baada ya masaa matatu, tulifika stendi ya babati mkoani manyara, trafiki polisi walikagua gari tena, wakakumbusha abiria kufunga mkanda, kama baada ya dakika 20 tangu kutoka stendi ya babati gari likaanza kutoa harufu kana kwamba matairi yanaungua kumbe ni clutch plate inaungua na imeisha. Gari likasimama likashindwa kwenda, abiria tusijue hili wala lile safari imesimama, konda akasema abiria tunaomba mvumilie, dreva ameenda kuchukua maziwa, kumbe ni fiksi, abiria wakamwambiia usitufanye watoto wadogo, gari ni mbovu, clutch plate iimeungua, gia haziingi, hakuna maziwa wala nini. Dereva akomba radhi akasema gari limeharibika.

Ilikua karibu saa 3:45 asubuhi, wakajaribu kutengeneza hadi saa tano kamili, gari likawashinda. Wakapiga simu, fundi akatokea Kateshi, akafika saa sita kasoro kama dakika 5 akiwa na clutch plate mpya. Utengenezaji ukaanza rasmi, baada ya masaa 3, karibia saa 9 na nusu mchana, gari likatengamaa.

Safari ikaanza, kwakweli tulikua tumechelewa sana, kwa wastani safari ya Arusha-Mwanza ni kwamba ukitoka saa 12 alfariji ukichelewa njiani basi saa 12 jioni unakua umefika mwanza.

Dreva alijitahidi kupiga gia, tuliingia mkoa wa Tabora, wilaya ya Nzega, Nzega stendi saa mbili kama na robo usiku. Wakati tunaelekea stendi tuliipita gari ya polisi, Toyota Hilux double cabin, kumbe ilikua ni gari yya RPC. RPC akapiga simu gari ishikwe stendi hapo Nzega kwasababu dereva yuko na mwendo mkali, kaipita gari yake wakati yeye RPC yuko kwenye themanini akutegemea apitwe na basi.

Bana kumbe dere alipoingia stendi, wakashuka kama kuchimba dawa, trafiki polisi wa zamu/sajenti, akamshika, akamuweka chini ya ulinzi, patrol defenda ikafika, ikamchukua mpaka central ya Tabora usiku huo. Abiria tulitangaziwa, chimbeni dawa jamani, chukueni chakula, tukitoka hapa hatusimami popote. ilipopita nusu saa safari haianzi, ndipo abiria mmoja akasema, wakati ameenda haja, ameona dereva kapakiwa kwenye difenda, abiria tukachachamaa.

TUKAENDA WOTE KITUO CHA POLISI HAPO STENDI

Sajenti, dereva yuko wapi? Ameshikwa kwa amri ya RPC na kapelekwa central. Abirira wakamuuliza, tunaendeleaje na safari? Akajibu, dereva mwingine yupo, awapeleke. Abiria wakahoji, dereva mwingine yuko wapi? Na, kwanini umchukkue dereva bila kututaarifu? Inakuaje unafanya kazi katika hali ya ajabu namna hii? Aaaya , tupe dereva uyo wa pili atupeleke. Afande kimya. Abiria, sisi tumetoka Chuga na dereva mmoja na huyo pekee ndiye tunaye.

Kama hoja ni overspeed, mbona gari nyingi zina-overspeed? Abiria wanamhoji sajenti, sajenti kimya. Abiria na connection zetu tuakapiga simu usalama wa taifa, kwa IGP na media kadhaa na kwa RTO mkoa wa Tabora. RTO akaja, alipofika, akakutana na wananchi wenye hasira na waliochoka na safari, baada ya kubanwa kwelikweli, ikabidi awe mpole. Akaomba apige simu awasilaine na wakubwa wake, mwishowe aksema, dereva anakuja. Abiria wakafurahi.

Yapata saa sita na dakika tano usiku, dereva akaletwa na difenda, dereva akitabasamu baada ya airia kumtoa ndani huko ambako alikua ameishawekwa. Safari ikaendelea. Wazee wa PGO ziro Abiria 3

MAFUNZO MAKUU KATIKA SAFARI HIZI ZA MIKOANI NNILIYOJIFUNZA

1. Polisi/wazee wa PGO bado wao hawafanyi kazi kwa weledi, wanachukua sana rushwa, magari flani yanazuiwa na magari flani hayazuiwi.

2. Polisi ndio chanzo cha ajali. Arusha wameruhusu gari itoke stendi wakati ina dereva mmoja peke yake, kitu hiki ni kinyume na sheria, inakuaje Tabora ndio wagundue?

3. Wamiliki wa mabasi, baadhi yenu, hakikisheni mnafanyia service vyombo vyenu. Haiwezekani kama hili la liazi kitamu clutch plate iungue namna ile bila kufahamika, tumetoka tabora saa 6 usiku, kufika shinyanga, gari likapiga pancha, tukapoteza muda tena.

4. Raia, simamia sheria, polisi ni waoga sana mkishindana nao kwa hoja na mkiwa na umoja, lolote lile linawezekana.

MWISHO KABISA

Mungu ni mwema, safari ilimalizika saa 9:45 alfajiri tarehe 6/10/2021 kila abiria akiwa salama salmini.

View attachment 1967536
View attachment 1967568
.


View attachment 1967534

8C94C46F-7B62-47A4-AACC-004EC867C8D3.jpeg
 
Umeleta ushabiki sana kwenye hii habari sijaona kosa la polisi. Kosa lipo kwenye bus bovu ,mwendo mkali. Hivi mfano hilo basi lingewamwaga si mngelalamikia polisi hawakulizuia Nzega stend. Pia mwenye basi ana makosa safari ndefu inahitaji dereva wawili.

Yaani hapo ni faini juu ya faini
 
Abiria ni watu wanafiki sana likienda kuanguka au kugonga na kusababishia watu ulemavu/kifo utaskia dereva alikua nakimbia sana na polisi walimruhusu
Huo haukua ushindi ila waliacha kwasababu mmeshakua radhi kufa
 
Umeleta ushabiki sana kwenye hii habari sijaona kosa la polisi. Kosa lipo kwenye bus bovu ,mwendo mkali. Hivi mfano hilo basi lingewamwaga si mngelalamikia polisi hawakulizuia nzega stend. Pia mwenye basi ana makosa safari ndefu inahitaji dereva wawili.

Yaani hapo ni faini juu ya faini
Pumba na upupu mtupu, najua ni umbumbumbu unakusumbua tuu... Ni hivi huyo askari alitakiwa aingie ndani ya Bus na baada ya kuwasalimia na kuwapa pole abiria awajulishe kosa la dereva na kifungu husika na adhabu stahiki. Makosa ya overspeed mengi ni faini na faini ina muda wa kuilipa. Baada ya dereva kuandikiwa makosa yake na faini anaruhusiwa na safari ili abiria karibia 65 waweze kufika makwao. Hicho kilichofanyika siyo ukamataji ni utekaji, kama ilivyo kawaida yao. Hivi ingekuwa huyo abiria mmoja asingeona dereva akitekwa si ina maana wangekaa hapo mpaka asubuhi??
 
View attachment 1967569
Wanabodi

Natumai mungu ni mwema kwa kila mmoja kwa kupata zawadi ya uhai.

Muhtasari wa habari.

Moja kwa moja kwenye mada. Mnamo tarehe 5/10/2021 nikiwa natoka Arusha kuelekea mwanza na basi la kiazi kitamu ulizuka msuguano mkali kituoni cha polisi Nzega stendi.

Polisi walimshusha dereva kwenye gari kimya kimya wakampandisha kwenye difender hadi kituo cha Polisi central. Abiria baada ya kutomuona dreva, tukaenda kituoni kuhoji, askari wa zamu anasema dereva kasnikwa, kapelekwa central, moto ukawaka, abiria tunamtaka dereva.

Habari kamili.

Safari kutoka arusha ilianza saa 11:57 alfajiri stendi ya mabasi ya kwenda mikoani. Gari baada ya kukaguliwa lilitoka. Baada ya masaa matatu, tulifika stendi ya babati mkoani manyara, trafiki polisi walikagua gari tena, wakakumbusha abiria kufunga mkanda, kama baada ya dakika 20 tangu kutoka stendi ya babati gari likaanza kutoa harufu kana kwamba matairi yanaungua kumbe ni clutch plate inaungua na imeisha. Gari likasimama likashindwa kwenda, abiria tusijue hili wala lile safari imesimama, konda akasema abiria tunaomba mvumilie, dreva ameenda kuchukua maziwa, kumbe ni fiksi, abiria wakamwambiia usitufanye watoto wadogo, gari ni mbovu, clutch plate iimeungua, gia haziingi, hakuna maziwa wala nini. Dereva akomba radhi akasema gari limeharibika.

Ilikua karibu saa 3:45 asubuhi, wakajaribu kutengeneza hadi saa tano kamili, gari likawashinda. Wakapiga simu, fundi akatokea Kateshi, akafika saa sita kasoro kama dakika 5 akiwa na clutch plate mpya. Utengenezaji ukaanza rasmi, baada ya masaa 3, karibia saa 9 na nusu mchana, gari likatengamaa.

Safari ikaanza, kwakweli tulikua tumechelewa sana, kwa wastani safari ya Arusha-Mwanza ni kwamba ukitoka saa 12 alfariji ukichelewa njiani basi saa 12 jioni unakua umefika mwanza.

Dreva alijitahidi kupiga gia, tuliingia mkoa wa Tabora, wilaya ya Nzega, Nzega stendi saa mbili kama na robo usiku. Wakati tunaelekea stendi tuliipita gari ya polisi, Toyota Hilux double cabin, kumbe ilikua ni gari yya RPC. RPC akapiga simu gari ishikwe stendi hapo Nzega kwasababu dereva yuko na mwendo mkali, kaipita gari yake wakati yeye RPC yuko kwenye themanini akutegemea apitwe na basi.

Bana kumbe dere alipoingia stendi, wakashuka kama kuchimba dawa, trafiki polisi wa zamu/sajenti, akamshika, akamuweka chini ya ulinzi, patrol defenda ikafika, ikamchukua mpaka central ya Tabora usiku huo. Abiria tulitangaziwa, chimbeni dawa jamani, chukueni chakula, tukitoka hapa hatusimami popote. ilipopita nusu saa safari haianzi, ndipo abiria mmoja akasema, wakati ameenda haja, ameona dereva kapakiwa kwenye difenda, abiria tukachachamaa.

TUKAENDA WOTE KITUO CHA POLISI HAPO STENDI

Sajenti, dereva yuko wapi? Ameshikwa kwa amri ya RPC na kapelekwa central. Abirira wakamuuliza, tunaendeleaje na safari? Akajibu, dereva mwingine yupo, awapeleke. Abiria wakahoji, dereva mwingine yuko wapi? Na, kwanini umchukkue dereva bila kututaarifu? Inakuaje unafanya kazi katika hali ya ajabu namna hii? Aaaya , tupe dereva uyo wa pili atupeleke. Afande kimya. Abiria, sisi tumetoka Chuga na dereva mmoja na huyo pekee ndiye tunaye.

Kama hoja ni overspeed, mbona gari nyingi zina-overspeed? Abiria wanamhoji sajenti, sajenti kimya. Abiria na connection zetu tuakapiga simu usalama wa taifa, kwa IGP na media kadhaa na kwa RTO mkoa wa Tabora. RTO akaja, alipofika, akakutana na wananchi wenye hasira na waliochoka na safari, baada ya kubanwa kwelikweli, ikabidi awe mpole. Akaomba apige simu awasilaine na wakubwa wake, mwishowe aksema, dereva anakuja. Abiria wakafurahi.

Yapata saa sita na dakika tano usiku, dereva akaletwa na difenda, dereva akitabasamu baada ya airia kumtoa ndani huko ambako alikua ameishawekwa. Safari ikaendelea. Wazee wa PGO ziro Abiria 3

MAFUNZO MAKUU KATIKA SAFARI HIZI ZA MIKOANI NNILIYOJIFUNZA

1. Polisi/wazee wa PGO bado wao hawafanyi kazi kwa weledi, wanachukua sana rushwa, magari flani yanazuiwa na magari flani hayazuiwi.

2. Polisi ndio chanzo cha ajali. Arusha wameruhusu gari itoke stendi wakati ina dereva mmoja peke yake, kitu hiki ni kinyume na sheria, inakuaje Tabora ndio wagundue?

3. Wamiliki wa mabasi, baadhi yenu, hakikisheni mnafanyia service vyombo vyenu. Haiwezekani kama hili la liazi kitamu clutch plate iungue namna ile bila kufahamika, tumetoka tabora saa 6 usiku, kufika shinyanga, gari likapiga pancha, tukapoteza muda tena.

4. Raia, simamia sheria, polisi ni waoga sana mkishindana nao kwa hoja na mkiwa na umoja, lolote lile linawezekana.

MWISHO KABISA

Mungu ni mwema, safari ilimalizika saa 9:45 alfajiri tarehe 6/10/2021 kila abiria akiwa salama salmini.

View attachment 1967536
View attachment 1967568
.


View attachment 1967534
Huo muda wa saa 9 usiku mliofika........Asubuhi yake dereva huyohuyo anarudi nalo Arusha tena
 
Abiria wanafki sana tulipanda basi Dar - Arusha ,njiani watu wanamtukana dereva anaenda slow ,kelele kibao na matusi ,tulipofika Same dereva akakanyaga gia mwendo wa ukweli ,abiria wakaanza kumsifu mara tairi la nyuma ikaburst gari ikaacha barabara ila dereva alifanikiwa kusimamisha .Abiria wakaanza ugomvi tena ....unatuendeshaje kwa speed hivi ?je ungetuua au tupige simu polisi unaendesha speed kali.
 
dereva kiazi,abiria viazi mbatata.

yaani umetafakari ukaona uje na huu ujinga wako hapa!!!
wazee wa PGO hawanaga cha kupoteza mdogo wangu,ni kama mwenye kampuni ya kamari,anakula kwa aliyepoteza na aliyepata.

hivi huyo jamaa yenu angeenda kuwazibua kwenye roli ungekumbuka hata PGO hapa jf kweli!!!
 
  • Thanks
Reactions: ALT
Back
Top Bottom