Mpaka niulize

Alexism

JF-Expert Member
Aug 14, 2011
3,423
2,045
Haijawai tokea mwenyewe kusema kama imeingia jamani.Mpaka mimi eti ndo nimuulize kama imeingia wakati yeye ndo anaweka,kama vipi wanajanvi nitaacha.
Huyu muuza duka yaani kuweka vocha anaweka mwenyewe kwenye cm yangu lakini mpaka nimuulize kama imeingia.
 
Haijawai tokea mwenyewe kusema kama imeingia jamani.Mpaka mimi eti ndo nimuulize kama imeingia wakati yeye ndo anaweka,kama vipi wanajanvi nitaacha.
Huyu muuza duka yaani kuweka vocha anaweka mwenyewe kwenye cm yangu lakini mpaka nimuulize kama imeingia.

Kazi kweli kweli!!!! ila vijana wengi wanaotoka nyanda za juu kusini (mby,iringa) ndivyo mlivyo
 
Back
Top Bottom