Wahenga walisema ukitaka kumuua mbwa mpe jina baya cha ajabu mpaka leo upinzani haujambatiza Samia jina lolote baya sio fisadi, sio dikteta yaani Mama ana enjoy tu. Je watamshindaje sasa? Wao washaitwa watoa taarifa na sio vyama.
Asali ni mbaya sana
Asali ni mbaya sana