sexologist
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 2,283
- 976
Ninafatilia kipindi cha bunge... kati ya hoja zilizonivutia ni hoja ya Zito Kabwe kwamba kila msanii awe na TIN namba ili kuweza kulinda kazi zake kwa maslahi yake na taifa kwa ujumla.
Ninafatilia kipindi cha bunge... kati ya hoja zilizonivutia ni hoja ya Zito Kabwe kwamba kila msanii awe na TIN namba ili kuweza kulinda kazi zake kwa maslahi yake na taifa kwa ujumla.
hujui unakosea unaposema TIN NAMBA?
Ninajua nakosea mkuu... kama unafahamu lugha vizuri hiyo ni totoloji (mrudio) TAX IDENTIFICATION NUMBER... Lakini nimeandika kile nilichosikia mkuu... By the way lets focus on the meseji.
Ninafatilia kipindi cha bunge... kati ya hoja zilizonivutia ni hoja ya Zito Kabwe kwamba kila msanii awe na TIN namba ili kuweza kulinda kazi zake kwa maslahi yake na taifa kwa ujumla.
vp wanaosema ATM-machine?
barabara ya morogoro road?
benk ya crdb?
vp wanaosema ATM-machine?
barabara ya morogoro road?
benk ya crdb?
Slaa katoa amri swala hili lisijadiliwe, lakini Godbless Lema na viongozi wengine wamepuuzia amri hiyo ya Slaa...