mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,204
- 48,983
100% mkuu, nikishajua movie ni ya staili hio hata sihangaiki ku download kabisaakuna movie kama fast and furious hii ya mwisho ni movie inayofaa kuangalia watoto. imekuwa so computerized na uongo wa wazi wazi mpaka inakera. kiukweli hata mimi si mpenzi wa movie zinazokuwa computerized sana mpaka uhalisia unapotea. movie inapendeza kuwe kuna chembe ya ukweli kiasi flan.