nkumbison
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 2,220
- 2,972
Kwahiyo hata Khadija Kopa angetoa Diss kwa kikosi kazi bado wana hip hop wangemdiss na yeye.?Boss hata nyimbo za bolingo zina message
Think better
Hiphop has its own way kuanzia uandishi mpaka uwasilishaji
Motra is ajust a rapper kama ally choki na wengineo all they do is rapping