Losambo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 2,612
- 864
- Thread starter
- #21
Ama kweli Tanzania yetu bado ni giza tupu!
Lusambo!
Tunakutegemea kwa picha kwani ktk pilika hii gari yangu imegongwa na ile gari la fire nikiwa hapo.
Ntarudi after!!
Pole sana mkuu net ndiyo inaleta longolongo lakini mtukio yote yamehifadhiwa tayari kupostiwa tu mkuu.