Losambo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 2,612
- 864
UPDATES;
Moto huo umeshadhibitiwa tayari kutokana na juhudi za wananchi na kikosi cha zima moto. Hadi sasa haijulikani moto huo umesababisha hasara kiasi gani.
Moto mkubwa umelipuka katikati ya jiji la Arusha na mpaka saizi umeshateketeza maduka kadhaa.
Kama ilivyo ada ya magari ya fire yamekuja bila maji na kukuta wananchi wanapambana kuzima moto. Jambo hilo lioengeza ghadhabu kwa wananchi na kushindwa kuelewa kazi ya kikosi hicho cha fire ni nini?
Stay Tunes for updates.
View attachment 51473
View attachment 51472
Moto huo umeshadhibitiwa tayari kutokana na juhudi za wananchi na kikosi cha zima moto. Hadi sasa haijulikani moto huo umesababisha hasara kiasi gani.
Moto mkubwa umelipuka katikati ya jiji la Arusha na mpaka saizi umeshateketeza maduka kadhaa.
Kama ilivyo ada ya magari ya fire yamekuja bila maji na kukuta wananchi wanapambana kuzima moto. Jambo hilo lioengeza ghadhabu kwa wananchi na kushindwa kuelewa kazi ya kikosi hicho cha fire ni nini?
Stay Tunes for updates.
View attachment 51473
View attachment 51472
Last edited by a moderator: