Moto umewaka Barrick

Geita Gold Mine na Nzega Resolute ndio hakufai kabisaaa, wazawa wanazalilishwa, wananyanyasika, wanafukuzwa na hata kutandikwa makofi ni mfanyakazi mmoja tuu tena binti aliye thubutu kwenda mahakani na akaweza kuisimamia kesi yake adi kikaeleweka

Resolute Nzega ni noma jamaa yangu mmoja yuko pale idara ya security akikusimulia unaweza kudhani nchi hii hakuna Serikali. Watu wananyanyaswa, wanatukanwa, wanatishwa nk. Pamejaa wa-South Africa, ambao hawajui lolote lile lakini wanajiita Specialist! mshahara wao ni balaa na posho yao kwa wiki ni USD 600, wakati watanzania wanalipwa 400,000@mwezi.

Hao wakuu wa Security nasikia walishapelekwa hadi UHAMIAJI lakini jamaa anahonga kiaina na anashinda. Niliposikia hii kweli niliona nchi hii haina Serikali iweje mtu hajui hata kutumia shotgun anafundishwa na supervisor mswahili lakini mshahara wake analipwa x15 zaidi tena kwa USD?
 
Tatizo kubwa lililoko huko ni utititli wa watu wanaodhani migodini kunalipa sana......... Kimsingi kunaonekana kunalipa kwa vile kula la saba (LY) wengi mno ambao wanalipwa sawa na wenye madigfrii yao tena wengine wanwazidi wenye digrii........... Sasa hao wa la saba shughuri yao kubwa ni kutangaza mitaani jinsi anavyomzidi mshahara graduate...............

Mkubwa Ngalikihinja huko migodini wanaotuangusha ni hawa akina uncle tom 'wakusoma' watanzania wenzetu wanaoitwa human resources managers na community relationship managers siku zote wao ndio wakandamizaji wa haki za wafanyakazi wao na jamiii zinazozunguka migodi muda wao mwingi ni kuzunguka zunguka immigration wakiwatafutia work permits ma expart ambao ni fresh graduates huku wakiwaponda wabongo wezao kuwa degree zao ( hata kama ni Phds) hazikidhi soko la ajira wakati na wao wamesoma vyuo hivi hivi vilivyopo
 
Mkubwa Ngalikihinja huko migodini wanaotuangusha ni hawa akina uncle tom 'wakusoma' watanzania wenzetu wanaoitwa human resources managers na community relationship managers siku zote wao ndio wakandamizaji wa haki za wafanyakazi wao na jamiii zinazozunguka migodi muda wao mwingi ni kuzunguka zunguka immigration wakiwatafutia work permits ma expart ambao ni fresh graduates huku wakiwaponda wabongo wezao kuwa degree zao ( hata kama ni Phds) hazikidhi soko la ajira wakati na wao wamesoma vyuo hivi hivi vilivyopo
Nilishawahi kufanya kazi pale KMCL.... NAFAHAMU AKINA SUGUTI, KITOKEZI WALIFANYA NINI.............. NA VILE VILE NAMKUBUKA SANA MZEE KICHELE ALIVYOWAFANYIA WALE WATU WALIOKUWA WANAFANYA TRAINING PALE PAMBA ENGINERING PALE MWANZA TAYARI KWA KWENDA PROCESS PLANT...... NI FULL KUJIPENDEKEZA KWA WAZUNGU......... VILE VILOE NAMFAHAMA LA SA SABA MMOJA ANAITWA MPANDUJI..KATIMULIWA SANA LAKINI ALIKUWA ANAJIONA SANA PALE KMCL KWA VILE ALIKUWA ANALIPWA SAWA NA GRADUATE
 
UBINAFSI ULIOPO NA UNAOENDELEA KWA KASI NCHINI KWETU NDIO MATOKEO YAKE. cha kwanza ni maslai binafsi, wengine watajua. Huu ubinafsi ulianza taratibu kama UDINI unavyoanza sasa. SI MUDA MREFU TANZANIA ITAKUWA NCHI YA HATARI KUISHI KULIKO SOMALIA KAMA VIONGOZI WETU NA WANANCHI HATUTABADILIKA.
 
Hii kitu inaumiza sana jamani. Hivi kwanini hawa Viongozi hawawathamini Watanzania katika kupigania maslahi ya Watanzania!
 
Ninaposoma hapa comments za wanaolalamika wanaoandika, kuniuzi, utitili, kulipoti n.k. najiuliza ikiwa si kisomo ndiyo msingi wa yote haya? Ikiwa hata lugha yako huijui................
nauliza tuuu!................
Najua hamtapenda hili, lakini maadam serikali imekaribisha ubepari, bepari hana maslahi na uzawa nk....yeye ataka apate faida ya investment yake tu kwa kuwaajiri watu competent.
Nauliza tu.
 
Nilishawahi kufanya kazi pale KMCL.... NAFAHAMU AKINA SUGUTI, KITOKEZI WALIFANYA NINI.............. NA VILE VILE NAMKUBUKA SANA MZEE KICHELE ALIVYOWAFANYIA WALE WATU WALIOKUWA WANAFANYA TRAINING PALE PAMBA ENGINERING PALE MWANZA TAYARI KWA KWENDA PROCESS PLANT...... NI FULL KUJIPENDEKEZA KWA WAZUNGU......... VILE VILOE NAMFAHAMA LA SA SABA MMOJA ANAITWA MPANDUJI..KATIMULIWA SANA LAKINI ALIKUWA ANAJIONA SANA PALE KMCL KWA VILE ALIKUWA ANALIPWA SAWA NA GRADUATE

Hivi huyu Mzee bado yupo?
 
dah! kuna siku nilikutana na kijamaa cha togo, f4 graduate afu fundi wa magari. analalamika hawamlipi vizuri coz anapata $ 6,000 tu. sijui allowances! nadhani kuna sheria ya uhamiaji inayozuia kuajiri foreigner mwenye ujuzi unaopatikana hapa nchini. watu wa uhamiaji na labor dept wanahusika hapa!
 
dah! kuna siku nilikutana na kijamaa cha togo, f4 graduate afu fundi wa magari. analalamika hawamlipi vizuri coz anapata $ 6,000 tu. sijui allowances! nadhani kuna sheria ya uhamiaji inayozuia kuajiri foreigner mwenye ujuzi unaopatikana hapa nchini. watu wa uhamiaji na labor dept wanahusika hapa!

They are the bad animals of the issue!
 
Hii kitu inaumiza sana jamani. Hivi kwanini hawa Viongozi hawawathamini Watanzania katika kupigania maslahi ya Watanzania!

RUSHWA. MTU AKISHA CHAFUKA ROHO HAWEZI TENA KUWA MSAFI HATA AOGE KWA KUTUMIA SABUNI GANI MPAKA AMRUDIE TENA MUUMBA WAKE NA ASIREJEE TENA KATIKA MADHAMBI NDIO ATAKUWA MSAFI. Wakara wa ukaguzi uliwahi kutoa ripoti juu ya hili jambo kwa wahusika yaani UHAMIAJI na WIZARA YA KAZI ripoti ilikuwa juu ya EXPATRIATE EMPLOYMENT Vs NATIONALS IN MINING INDUSTRY. Kifupi sheria zetu ni nzuri sana issue NANI atasimamia sheria hizo. Uhamiaji wamekuwa wakitoa vibali vya kuishi humu nchini bila hata kufuata sheria vivyo hivyo wakara wa ajira chini ya wizara ya kazi nao wanatoa vibali vya kazi kinyume kabisa na sheria, utakuta mzungu yumu humu zaidi ya miaka 5 wengine wamo humu kwa miaka 9 sasa wakati sheri zote ya uhamiaji na kazi zinasema 2yr renewable but the maximum is 5 yrs. Hawa watu wa wizara hizi wanapewa sana bahasha za kaki. NADHANI BAHASHA ZA KAKI ZIFUTWE MAOFSINI. migodi yote idara HRM kazi kubwa ni kuwakamata viongozi, Hao akina Mama Suguti-Tulawaka, Deo Mwanyika na sasa Mwapachu, akina Mbilinyi kazi kubwa ni kuwahonga viongozi. Infact ripoti hiyo ya wakala ina yote haya yaliozungumziwa katika makara hii. Wizara ya uhamiaji na Kazi mara walipopelekewa na kusoma mapungufu yao kiutendaji kila wizara ilisukumia nyenzake. UKOMBOZI KAMILI BADO NA UNACHELEWESHWA NA VIONGOZI AMBAO HAWANA UZOEFU KATIKA SEKTA BINAFSI NA UZALENDO KWAO NI 0.0000%
 
Tatizo lipo kwenye serikali yetu kwani utaratibu wa vibali vya kufanya kazi haufuatwi. Uhamiaji, TIC na Idara ya kazi hawashirikiani katika maamuzi, kila mmoja anapiga dili kivyake. Ukitoa taarifa, Uhamiaji wanafika wanaishia ofisini wanapewa chao wanaondoka. Tunashukuru kwa sasa Mama Suguti hayupo, lakini wapo akina Janet ndo wanaongoza kwa kuwatafutia vibali hawa wageni, uzalendo haupo kuanzia serikalini hadi kwenye sekta binafsi. Kilichobaki kwa sasa ni wafanyakazi wa sekta ya mining kuaandamana. Tuliwategemea TAMICO watutete lakini nao wamekuwa sehemu ya matatizo, tangu Chiligati atangaze kima cha chini kwa sekta ya madini kuwa ni 350,000 mwaka 2007 hadi leo hakuna marekebisho ingawa bei ya dhahabu inapanda kila siku. TAMICO wapo ambao ndo watetezi wa wafanyakazi wa migodini lakini wamekaa kimyaa!!! Nahisi nao wanafaidika na matatizo wanayopata watanzania wenzetu. Kwenye bajeti ya wizara ya kazi, wabunge walijitahidi kuelezea kiundani matatizo ya wageni wanoingia kiholela pamoja na malipo yasio sawa kwa kazi sawa, namshukuru Mh.Matiku na Mh.Musa Zungu kwa ushauri wao kwa serikali. Naomba serikali wafuatilie ili kero hizi zipungue au ziishe kabisa.
 
Mkuu mimi mwenyewe waliuzi sana!! Pamoja na kuwa na juhudi za kwenda kwenye interview zao, lakini mara nyingi walikuwa matusi kwenye mshahara!! nikaamua niachane nao! wabaya wa watanzania ni HR wa kibongo, wanauzi sana hawa jamaa! full kujipendekeza na kuwaumiza wenzao wakati white wanakula Mil 2 kama living allowance, mshahara moja moja nchini anakotokea, hata kodi hatuukati wabongo!!

Kuna wabongo wengi tu ambao ni experts zaidi ya hao wanaojiita experts kwenye mining industry, power industry! lakini mi nalia na hawa HR wa kibongo. Pili, serikali yetu nii ya hovyo sana! wao wanajua 10% basi, maslahi ya nchi hukoo hawana muda na nchi.

Naona sasa mnaanza kwenda kwenye kiini cha tatizo. Mjenga nchi ni mwananchi na mbomoa nchi ni mwananchi yuleyule.
 
This Tanzania a Land of opportuity to the foregners and a land of Bad luck or Hard luck to the indigenous or native.
 
hii sasa kali
Ufisadi umefikia pabaya sasa ni weupe kwa weupe

attachment.php
 
Hapa nilipo sera yao ni kuwa, mgeni ukiomba kazi ukabahatika kuajiriwa pamoja na mzawa, mzawa analipwa mshahara mkubwa zaidi ya mgeni. Ndo sheria na huwezi kuipindisha wala kukwepa kulipa kodi huwezi. Jamaa wanasema " We ............... create the rules and regulations for our country, and other countries follow". Na ni kweli jamaa wako serious siyo utani.
 
Nilishuhudia kwa macho yangu kabisa kuna jamaa aligeuka kuwa kiziwi baada ya kufanya kazi Barik zaidi ya miaka 6 kwenye machimbo kutokana na makelele ya Compresors akageuka kuwa kiziwi kabisa kabisa. Masikio yake yalianza kutoa damu, hatimaye alifukuzwa kazi baada ya kuambiwa eti hana uwezo wa kazi tena.
 
Back
Top Bottom