Byabato Kilama
Member
- Jun 13, 2007
- 10
- 1
Tusiwalaumu sana FIRE, ENZI ZA MWALIMU walikuwa na sehemu zao za kujazia maji. Zote zimevamiwa hawana sehemu hizo tena.
Magari yao yanabeba maji kidogo wakifika tu na kuanza kuzima yanaisha (hivyo wanarudi kituoni kwao kilometa 20, ongeza na foleni hapo kuchukua maji) sisi tunafikiri hawakuwa nayo.
Ujenzi wetu atuzingatii miundo mbinu ya maji ya zima moto zile gali uwa zina pump tu ya kusukuma maji ya zima moto ni lita 5000 hadi 7000 tu
Wanategemea wakute maji kwenye tukio