Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,085
Shauri yako utakufa watu wawakane wanao!!!cna upweke mimi. Cku hz napga kmya kmya mithili ya Kanumba
Nlimuona jana pale Mwenge. siku hz feis buku kanenepa
Hata yeye hakuona bana tulikuwa bize ndani ya net ebo!!!
Nipe basi hayo matokeo jaman!!!!
Ukitaka usirias nenda kule sihasa utawakuta wenzio wako sirias km wanafanya mtihan wa hesabu wa fom fooooo!
Mtei One...Hivi hiyo siku kulikuwa na match ya aina gani? sisi tulikuwa busy na match yetu bana...Rejao anayo matokeo. Alikuwa anapga chabo goal.com.
Kule ban zpo nje nje.
Shauri yako utakufa watu wawakane wanao!!!
Mtei One...Hivi hiyo siku kulikuwa na match ya aina gani? sisi tulikuwa busy na match yetu bana...
naona unachikonoa kweli ujue kila kitu!! Angalia tu usichanganyikiwe...
Mbona kakimbia Jukwaani ukimuona siku nyingine mwambie aje jukwaani.
asa hao watu wanaotafutwa mbona nawaona tena humuhumu wamekunja nne afu hawakamatwi....vipi tena au ndo tuseme wamekula rushwa!
asa hao watu wanaotafutwa mbona nawaona tena humuhumu wamekunja nne afu hawakamatwi....vipi tena au ndo tuseme wamekula rushwa!
Asikuchoshe huyo nadhan ni muda wetu wa kupata cha mchana now!Mtei One...Hivi hiyo siku kulikuwa na match ya aina gani? sisi tulikuwa busy na match yetu bana...
naona unachikonoa kweli ujue kila kitu!! Angalia tu usichanganyikiwe...
Asikuchoshe huyo nadhan ni muda wetu wa kupata cha mchana now!
Ata cjui Nafanya nini,Eti nafanya nini kwani?wewe Dazipoziboylov unafanya nini hapa?