Rais Uhuru Kenyata ametangaza nyongeza ya mshahara kwa 18% wakati ambao chama cha wafanyakazi Kenya COTU, kilikuwa kikitarajia nyongeza 22% millard ayo on Twitter
Mkuu ametulia sana Rais leo hii ni tofauti na hotuba zake zote Mungu anashuhudia.
(UMEONGEA NA MUNGU SAA NGAPI AKAKWAMBIA ANASHUHUDIA HOTUBA NI NZURI ? MHESHIMU MUNGU KWA MANENO NA VITENDO ! )
Kwanza iwe hotuba yenye matumaini na kutekelezeka
kasema atenda kukaa amekujaje bila kukaa akatolea ufafanuzi alikurupuka kuja kufanya nnHayo umeyatoa wapi? Sote tumesikiliza hotuba yake,kasema nyongeza ni kwenye bajeti ijayo sasa mambo ya mwakani umeyatoa wapi? We jamaa ovyo sana.
Ni mwaka wa uchaguzi na kumbuka maadui zake wamejiunga pamoja kumdondosha, so he must play it cleanRais Uhuru Kenyata ametangaza nyongeza ya mshahara kwa 18% wakati ambao chama cha wafanyakazi Kenya COTU, kilikuwa kikitarajia nyongeza 22% millard ayo on Twitter
Angesema leo kuwa kuna ongezeko la mshahala utekelezaji wake ndiyo ungekuja bajeti ijayo. Sasa kama hayajasemwa sijui yatafanyikaje. Anyway ngoja tungoje kama usemavyo huenda mtateta pembenipunguza chuki fuatilia vizuri!! mh kasema nyongeza pamoja na kupanda madaraja ni bajeti ijayo!! halafu unakuja kueneza chuki,hakuna kinachoweza kufanyika bila mipango!!
Kwanini uwalazimishe wengine kuunga mkono?Kwa kweli tuweke itikadi zetu pembeni. Mheshimiwa Rais ametoa hotuba nzuri sana kwa mustakabali wa taifa letu. Hotuba yake imejaa matumaini mazuri kwa Watanzania. Akiendelea na hotuba za namna hii taifa litakuwa moja. Tujitahidi kumshauri kwa busara na hekima ili tufike mbali. Toa pia pongezi zako kuumpa moyo Rais wetu
Hakuna jipyaContents za hotuba ya kihistoria huwa ni zipi mkuu??
Mkuu sio habari ya ndege tu, bali ameongea mambo mengi tu mazuri kama yakitekelezwa cha msingi tuzidi kumshauri kwa busara. Kwani hili taifa ni letu soteKuzungumza masuala ya ndege kwenye siku kuu ya wafanyakazi ndio kutoa hotuba ya kihistoria?
Tukubali tu bado hatujapata Rais.
Na awamu hii tumekula gharasha!
Kwahiyo kutulia ndio historia?Mkuu ametulia sana Rais leo hii ni tofauti na hotuba zake zote Mungu anashuhudia.
Kwanza iwe hotuba yenye matumaini na kutekelezeka