Bigbon
JF-Expert Member
- May 21, 2016
- 600
- 729
Sawa lakini hakuna jipya karudia yale yale ya wakati wa vyeti fekiMkuu usiwe na mashaka nami huwa nasimamia ukweli. Ndio maana nimesema ni hotuba ambayo mheshimiwa hakuwa kichama bali amesimama kama Rais wa nchi. Tuwe wakweli ndugu